Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Ilikuwepo Avalon pia.Bila kusahau kumbi za sinema kama Empire,Empress, Drive Inn,New Chox,Star Light,Odeon,Cameo.Kipindi hicho tunamuangalia Angela Mao,Churck Norris,James Bond,Bruce Lee halafu jumatatu tunakwenda kuhadithiana Shuleni[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Enzi hizo kuona GOT tu ni shiida, wadada wanavaa underskirt hakuna skin tight, akikaa vibaya ukaona chupi bao linatoka lenyewe.Brother umeua! Brother umeua! [emoji16][emoji16][emoji23]
Vichupi vilikuwa vinabana vile,yet wanaume kama wanaume tulikuwa na nguvu za kiume za kutosha.Sijui leo boxer ndo zinafanya watu wakose nguvu?
Zamani zile ukiona paja la mdada ngoma inasimama kinyama.Leo mtu umevaa boxer mdada mzuri anasimama mbele yako kwenye mwendokasi akiwa hajavaa kitu,mmebanana kinoma,ila bado mtambo hausimami.Boxer zilaaniwe!
Tv yetu ya Kwanza bimkubwa alivuka maji kuifuta Zanzibar Hitachi inch 14 [emoji1787]1998Miaka hiyo tv haina rangi ni black tu, na tv ilipatikana zanzibar pekee na hadi wazimbabwe walifika kununua vitu zanzibar
Hapo bado mmoja akiitwa Sangandele
Tetracycline
Enzi zetu hizo ndonga ikisimama imesimaa, kuipooza mpaka ujigonge mshipa wa juu ya kisigino, sio vijana wa siku hizi mpaka watumie hendeli kukiwasha, na hata ikisimama inakuwa legelege hata bikra zinawashinda kutoaEnzi hizo kuona GOT tu ni shiida, wadada wanavaa underskirt hakuna skin tight, akikaa vibaya ukaona chupi bao linatoka lenyewe.
Nlipenda sana kuangalia mchezo wa REDE[emoji851][emoji851][emoji851]
huyu sio tibaigana ?Acha tu tulitembea na mdundiko kutoka Tandale mpaka Buguruni tuliporudi home tulichezea stiki na mzee mpaka mjumbe aliingilia kati ndo ikawa pona yetu
View attachment 1989651
[emoji23][emoji23][emoji23] au barafuEnzi zetu hizo ndonga ikisimama imesimaa, kuipooza mpaka ujigonge mshipa wa juu ya kisigino, sio vijana wa siku hizi mpaka watumie hendeli kukiwasha, na hata ikisimama inakuwa legelege hata bikra zinawashinda kutoa
Noma mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] au barafu
Enzi zetu hizo ndonga ikisimama imesimaa, kuipooza mpaka ujigonge mshipa wa juu ya kisigino, sio vijana wa siku hizi mpaka watumie hendeli kukiwasha, na hata ikisimama inakuwa legelege hata bikra zinawashinda kutoa
Hiyo apoIlikuwepo Avalon pia.
Nilikuwa napenda kula kababu kwa Mhindi,nje kidogo ya ukumbi wa Avalon, kisha ndo nazama kuangalia sinema.
Kuna siku Mzee Mohammed Said alileta uzi kuhusu kumbi hizo akanikonga moyo sana.
Ilikuwepo Avalon pia.
Nilikuwa napenda kula kababu kwa Mhindi,nje kidogo ya ukumbi wa Avalon, kisha ndo nazama kuangalia sinema.
Kuna siku Mzee Mohammed Said alileta uzi kuhusu kumbi hizo akanikonga moyo sana.
Bila kusahau kumbi za sinema kama Empire,Empress, Drive Inn,New Chox,Star Light,Odeon,Cameo.Kipindi hicho tunamuangalia Angela Mao,Churck Norris,James Bond,Bruce Lee halafu jumatatu tunakwenda kuhadithiana Shuleni
Stout dume. Hizi mpaka leo zipo kule uchagani zinapiga kazi
Eeeeh, nimekunywa sana hizi makitu......
Hahahaha, maza wangu alikuwaga na Peugeot 504.......Peogeut 404 station wagon!!!
Kuna mwenzake wa vidonge Vicks Kingo,.....