1 hectare = 10 000 square meters

Kwa hiyo hekta moja inaweza kuwa mita 100 urefu kwa mita100 upana

 
Kwa hiyo basi:
12,000/4 046.85642=2.9653
Uko sahihi kabisa, ni eka tatu hizo
 
15,000/= per square meter. Bei nzuri sana kama ni tambarare
 
sanaa..mtu anaweza nunua akauzia watu kidogo kidogo..

unaweza kuuza kwa 30,000 per square meter
Benki sikopesheki, yaani hapa nilipo nina overdraft mpaka kwenye salary slip yangu. Natamani ningekuwa na hela hiyo
 
sanaa..mtu anaweza nunua akauzia watu kidogo kidogo..

unaweza kuuza kwa 30,000 per square meter

Hii inawezekana vipi kiwanja ambacho tayar kina title deed, hivi unaweza wagaia watu? Umiliki wao unakuaje? Maana kuna shamba lilipimwa badae kutaka kubadili matumizi mizinguo kweli huko ardhi yaani wanaweka ngumu sana.
 
Upande wa juu au wa chini hapo?
 
Hii inawezekana vipi kiwanja ambacho tayar kina title deed, hivi unaweza wagaia watu? Umiliki wao unakuaje? Maana kuna shamba lilipimwa badae kutaka kubadili matumizi mizinguo kweli huko ardhi yaani wanaweka ngumu sana.
hilo ni jepesi, kwanza una surrender hati ya kwanza halafu wanapima upya wala hakuna longolongo. kinachoangaliwa ni master plan tu, kama itafaa kwa makazi wanarekebisha.
 
Shamba la miti ya mi-pine ambayo ipo tayari kuvunwa lina ukubwa wa heka 7
Kuna miti 4000 ya mi-pine ina umri wa miaka 15
Unaweza kuvuna au ukaendelea kuiacha ukavuna hapo baadaye
Nina shida sana ndio maana nauza
Nakuuzia miti pamoja na shamba lake linakuwa na umiliki wako
shamba lipo iringa karibu na barabara
BEI NI MILIONI 40

mawasiliano 0677 818283

 
Wahehe njoeni mtoe uthibitisho wa picha, hilo shamba ndo lenyewe? Miti ndo hiyo? ili mleta mara apate mteja.

Kama kavideo kwa shamba kapo, itapendeza.
 
kuna sehemu nmenunua shamba la miti heka 2 ile kuchana tu mbao robo heka mke wangu akaanza kuchekaa pesa ishaludi..
 
Beach plot ipo mjimwema kigamboni

5KM kutoka kigamboni ferry

eneo lake ni sqm 7228 (ni kasoro sqm 800 ifike heka 2)

Ina hati miliki

BEI NI MILIONI 750 (750,000,000)

MAWASILIANO 0677 818283



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…