Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Hahaha....... Chacha Wangwe ilikuwa hivi hivi!

Zitto Kabwe almanusura

Sumaye akatoka nduki
 
Wakati tunaendelea kujadili suala hili, Ningeomba Malaika wa Zamu waendelee kuchochea kuni, tena moto uwe mkali sana.
 
"When the white mans' God is Offended. People Die."

Mh. Lissu hakuwa na Bahati.
He is the Chosen one.

"Oh Our Saviour, St Augustine"
 
Unayemtetea alikuwepo hajawahi kukanusha au kukubali. Wewe ni nani umsemee marehemu.
 
Raha zaidi niliyoipata ni pale aliyeamini kazi yake ilikua kuua wengine yeye ndie alikufa.

Ilikua raha sana siku hiyo dictator alipokufa, na ni rahq zaidi kwani yuko jehanqmu huko motoni na zoezi la leo ni kumchoma kadudu kake
 
Ubwa mmoja usiyetaka kuambiwa ukweli, ukiambiwa ukweli unabweka!!
 
Sema kituo gani cha media kilichorusha Hiyo Taarifa??
 
CCM na CDM watakavyo malizana kwenye majukwaa ya siasa watajua wenyewe..

Hila humu JF kwa sie ambao tunaelewa Magufuli hakuwa perfect ila dhamira yake ilikuwa njema kwa Tanzania awezi dhalilishwa kamwe. Either the culprit ni CDM au CCM.

Bora Magufuli kuliko (bi tozo + JK) binafsi nipo tayari kunyofolewq kucha kwa kauli hiyo ata pliers zikiwa mbele yangu.
 
Idd Amin Mwendazake lazima asemwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…