Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Kipi kipimo cha usaliti?

Unapimwaje? [emoji2369]

Je sheria ina-define vipi usaliti?

Ikithibitika adhabu yake ni nini?

Je sheria imesema auwawe ?

Kwanini asishitakiwe kwenye vyombo vya haki?

..halafu Deo Mwanyika mshirika wake kwenye "usaliti" akapewa ubunge wa CCM jimbo la Njombe

..halafu usd 191 tulizodai tumeibiwa, na Lissu akasema ni kanyaboya, na Magufuli akamuita msaliti, Prof.Kabudi amejitokeza na kuthibitisha ilikuwa ni madai ya uongo.
 
Yule jamaa alikuwa na roho mbaya mno.
 
Hujui kitu wew
 
Alikuwa kinyume na maamuzi ya dikteta Magufuli.

Note:

Kwenye utawala wa kidikteta, dikteta hujiona yeye ndiyo nchi.

Lisu afutwe uwanachama wa chadema. Maana badala ya kueneza sera za chama kimekuja na nini kipya. Yeye analeta za akina Magufuli. Ambazo zimepitwa na wakati, na ambazo hazina tija kwa taifa.
 
Oooohoooo!! Kumekucha sasa ngoja waje wafia legacy!! Ila Lisu hapindishi maneno 🤣🤣🤣
 
Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM.

Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali.

Ni vema Tundu Lissu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika.

Mlale Unono!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…