Equitable
JF-Expert Member
- Dec 24, 2021
- 2,017
- 5,462
Chifu Hangaya lipo kwenye NIDA!???Itafaa kumuita hayo majina iwapo kutakuwa na uthibitisho toka NIDA, Kinyume na hapo ni ujinga kushiriki hilo jina.
Farao wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chifu Hangaya lipo kwenye NIDA!???Itafaa kumuita hayo majina iwapo kutakuwa na uthibitisho toka NIDA, Kinyume na hapo ni ujinga kushiriki hilo jina.
Hakuna ukombozi bila damuTunamuombea, ingawa mfumo ulowekwa na waasisi hautoi nafasi kiongozi Kutoka nje ya chama kile kukalia KITI kile,
Na Ishara zote zinasoma kuanguka Kwa chama chakavu kutakuwa Si Kwa Amani.
Tunaendelea kuomba Ili wananchi wasio na HATIA wasipitie mtikisiko huo mkubwa.
Si mbali ni hapo tu 2024/2025!!
Farao ni weye mwenyewe unayemuuita kwa hilo jina 😁Chifu Hangaya lipo kwenye NIDA!???
Farao wewe
Damu ya rangi gani unataka kuona?Hakuna ukombozi bila damu
Yale Makanikia yapo wapi?Kinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Jiwe aliharibu sana kila mahalaYale Makanikia yapo wapi?
Jiwe alikuwa na akili sana kuiogopa cdmPoliccm wameaibika kwa mara nyingine tena!
Bullshit we uko gizani hujui kitu màkesi mliyoshtakiwa yote mmeshindwa na mnatakiwa kulipa mamilioñi ya madolaKinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Hii imeenda!!!Nachukua nafasi hii kutangaza kuwadharau watu wote walioshiriki kuhujumu Jambo Tv Online ili ishindwe kuripoti Mkutano Kabambe wa Tundu Ole Lissu alipowahutubia Wamasai, ambao ni wahanga wa kuhamishwa kwenye maeneo yao huko Ngorongoro
Laana ya milele iwaandame wao na vizazi vyao katika maisha yao yote yaliyosalia hapa duniani , Amina
Siasa hizi za kishamba zilizopitwa na Wakati , hazina nafasi tena kwenye nchi hii , tupingane kwa hoja .
CCM inafanya siasa za kishamba sanaHii imeenda!!!
Alipokea bahashaKinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Sisi wa JF tulikuwa hewani muda woteHakuna media nyingine iliyofanikiwa kurusha mkutano huo?
Hivi we bwege utaacha lini kukaa kusifia wanaume wenzio kila siku.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amewasili Ngorongoro ambako anatarajiwa kuwasha moto wa Ukombozi na kukata minyororo ya Utumwa waliyofungwa Wamasai.
View attachment 2743175
Nakala : Maulid Kitenge
Angalizo : Usiondoke JF kuna mambo mazito mno yanakuja .
Kwani tulishtakiwa Makesi mangapi mpaka ndege zikawa zinakamatwa??hukumuona yule Profesa Mruma mwezi uliopita alivyopigwa maswali Mahakamani mpaka akawa anatia hurumaKinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Ok hongereniSisi wa JF tulikuwa hewani muda wote