Etwege, usibaki gizani, Lissu hakuwa msaliti hisipokuwa alitoa taadhari ya kuvunja mikataba kiholela. Sasa hivi yanatupata. Wasaliti ni wale wanasheria waliomudanganya jpmKinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA