Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Porojo
Naam !Tundu Ole Lissu
Mambo yanavyokwenda muda ni mwali,ccm kaeni na Lissu mezani mkubaline jinsi ya kumkabidhi nchi,mazunguzo yaanze malamoja, mpe mashariti magumu ya kutowashitaki kwa matumizi mabaya ya madaraka, msione aibu nijambo la kawaida mtabaki na heshima msigoje dakika za lala salama,anzama mapema chukueni mkataba wenu utawasaidia huko mbeleni,mazungumzo yasiwe siri sisi raia tutakuwa mashahidi mbinu na wapa,Lissu ni Mandela wa Tanganyika.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amewasili Ngorongoro ambako anatarajiwa kuwasha moto wa Ukombozi na kukata minyororo ya Utumwa waliyofungwa Wamasai.
View attachment 2743175
Nakala : Maulid Kitenge
Angalizo : Usiondoke JF kuna mambo mazito mno yanakuja .
Acha kupotosha. Hapo sio Ngorongoro. Hizo picha ni za Monduli. Unapata faida gani kudanganya umma?
Itafaa kumuita hayo majina iwapo kutakuwa na uthibitisho toka NIDA, Kinyume na hapo ni ujinga kushiriki hilo jina.Laigwanan Tundu Ole Lissu.
PowerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrPeoplesssssssssssssssssssssss
Aheri ungekuwa umekosa vyote ukabakiziwa akili.Acha kupotosha. Hapo sio Ngorongoro. Hizo picha ni za Monduli. Unapata faida gani kudanganya umma?
Tuko katika hatua za mwisho mwisho.NIDA siku hizi ni siku tatu unapata cheti.Itafaa kumuita hayo majina iwapo kutakuwa na uthibitisho toka NIDA, Kinyume na hapo ni ujinga kushiriki hilo jina.
Wewe huna tofauti na yule Chief Mangungo aliyepewa shanga na Wazungu akasaini mkataba wa kipuuzi kuuza nchi.Endeleeni kukufuru maana machadema akili zenu huwa zinawaruka mpaka mnapitiliza mipaka ya kibinadamu[emoji1][emoji1]
Hivi huyu rais aliyetabiriwa na nabii TB Joshua kuwa ndiye rais wa 5 Tanzania yupo wapi kwa sasa?Nimecheka maana wamenikumbusha Rais wa mioyo yenu Lowasa 🤣🤣🤣🤣
Wewe unapotosha mkuu 'Rabbon'.King of Kings ni Cheo Cha Mungu, tusianze kufuru.
Mgonjwa ,Yuko South AfricaHivi huyu rais aliyetabiriwa na nabii TB Joshua kuwa ndiye rais wa 5 Tanzania yupo wapi kwa sasa?
Ni NIDA hii hii ya Samia?NIDA siku hizi ni siku tatu unapata cheti.
Aliugua baada ya kuingizwa mkenge na nabii?Mgonjwa ,Yuko South Africa
Tumeshamvika Shuka na kumkabidhi RUNGU.Endeleeni kukufuru maana machadema akili zenu huwa zinawaruka mpaka mnapitiliza mipaka ya kibinadamu😄😄