Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
[emoji3][emoji3]Mpango wa Mungu hauwezi kuzuiwa na mamluki , Wameonyeshwa Vifungu vya Katiba wakanywea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Mpango wa Mungu hauwezi kuzuiwa na mamluki , Wameonyeshwa Vifungu vya Katiba wakanywea
Dada umekula,hapo ni kazimkazi zanzibarAcha kupotosha. Hapo sio Ngorongoro. Hizo picha ni za Monduli. Unapata faida gani kudanganya umma?
Mimi na wewe ila watoto wetu na vitukuu vyetu viwe salamaEeeh kumbe? Sasa nani atakuwa Mwanakondoo?
Yanini yote hayo kumwagana damu jamani?Mimi na wewe ila watoto wetu na vitukuu vyetu viwe salama
Heri yako wewe uliyerudisha fahamu zako
Msipende kuwatafutia umaarufu wajinga. Kitenge ni kitu gani hata umlinganishe na Lisu?Maulidi Kitenge wa Wasafi FM alipofanya Ziara Ngorongoro Wamasai walimshangilia sana
Leo Tundu Lisu kafanya Ziara Ngorongoro Wamasai wamemshangilia sana
Au ni Utamaduni wa Wamasai kushangilia wageni?
Mlale Unono!
Kwani hatukushtakiwa? Acha ujinga wakoKinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
HatupoNgorongoro mkuu,ebu dadavua Kwa undaniNashukuru wamasai wamefikisha ujumbe CCM kwamba wanayotutendea watanganyika hayakubaliki Duniani na Mbinguni..
Ujumbe wa leo unatupeleka 2025 kwenye kivumbi na jasho ama kweli Mchengerwa kazi anayo.
Tuombe uzima. Tushuhudia wote anguko la CCM. 2025.
Hawa watamlinda usiku kuchaMbona kama walikuwa wanamsubiri kwa hamu sana,Sijui polisisiem wamekaa mkao gani?
Daah nani kaiba ida yako mukuu
Kama wamasai hawajaumizwa basi ni sawa. Lakini kama wameumizwa tusubiri.Write your reply...MASAI HATAKIWI NGORO2 TULINDE HIFADHI YETU.LISU C KILA KITU NI SIASA.NA C KILA JAMBO NI KUPINGA
Makojo una hasira sana!Msipende kuwatafutia umaarufu wajinga. Kitenge ni kitu gani hata umlinganishe na Lisu?
Natamani msiendelee kumjadili huyu MPUMBAVU WA TAIFA
Mwaka ujao wa uchaguzi utakuwa wa tofauti mura!! Hututakubali kutoka kituo cha kupiga kura hadi zihesabiwe na tutoke na matokeo ya kura zetu zote.Kwani unafikiri Lowasa hakushinda ule mwaka?