The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Siongeagi na chawa mimiMtaminywa kende wote mnaopinga. Mkataba wa bandari tulishamaliza ni utekelezaji tu. Sema lingine. Dkt Samia Oyee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siongeagi na chawa mimiMtaminywa kende wote mnaopinga. Mkataba wa bandari tulishamaliza ni utekelezaji tu. Sema lingine. Dkt Samia Oyee
Na wasiyo kuwa na kende? Huo uDokta aliusotea darasani?Mtaminywa kende wote mnaopinga. Mkataba wa bandari tulishamaliza ni utekelezaji tu. Sema lingine. Dkt Samia Oyee
Ccm si wamezoea biashara ya kila siku, tulipo sema ccm ilishafutwa kiutawa na Mungu hamkuelewa, sasa endelea kuwa na matumaini ya vyambo vya dola, hakuna dola iliwahi shindana na Mungu ikashinda ,likitimia limetimiaNashukuru wamasai wamefikisha ujumbe CCM kwamba wanayotutendea watanganyika hayakubaliki Duniani na Mbinguni..
Ujumbe wa leo unatupeleka 2025 kwenye kivumbi na jasho ama kweli Mchengerwa kazi anayo.
Tuombe uzima. Tushuhudia wote anguko la CCM. 2025.
Yaani masai ni uharibifu Ngorongoro lakini mwarabu ni mhifadhi ?!. Akili ndogo sanaWrite your reply...MASAI HATAKIWI NGORO2 TULINDE HIFADHI YETU.LISU C KILA KITU NI SIASA.NA C KILA JAMBO NI KUPINGA
Ngorongoro mumeshuhudia nini Cha ajabu ambacho hamjawahi shuhudia?Nashukuru wamasai wamefikisha ujumbe CCM kwamba wanayotutendea watanganyika hayakubaliki Duniani na Mbinguni..
Ujumbe wa leo unatupeleka 2025 kwenye kivumbi na jasho ama kweli Mchengerwa kazi anayo.
Tuombe uzima. Tushuhudia wote anguko la CCM. 2025.
Kiroho ipo na maana sanaModerator pandisha video hizi, Haya ni mapokezi ya mpigania uhuru aisee.
Ee Mwenyezi Mungu mbariki, mlinde, na umnyanyue Tundu Lissu kiinuo kikubwa na umlinde dhidi ya hila zote mbaya dhidi yake.
Eee Mwenyezi Mungu tuondolee duluma na ubabaishaji katika nchi yetu
Aaaamin
View attachment 2743163
Huna akili kabisa na maccm menzakoNgorongoro mumeshuhudia nini Cha ajabu ambacho hamjawahi shuhudia?
Chadema Kwa kujifariji mko vizuri sana.
Inshallah CCM ishakufa hao mbwa wasitarajie chochote, iwe vita au sanduku la kura wataondoka mbwa haoNashukuru wamasai wamefikisha ujumbe CCM kwamba wanayotutendea watanganyika hayakubaliki Duniani na Mbinguni..
Ujumbe wa leo unatupeleka 2025 kwenye kivumbi na jasho ama kweli Mchengerwa kazi anayo.
Tuombe uzima. Tushuhudia wote anguko la CCM. 2025.
Maasai lazima waondoke Ngorongoro kulinda Hifadhi regardless what, Hifadhi sio malisho ni urithi wa Nchi na Dunia.Daah serikali inakosea sana kuwaondoa Masai Ngorongoro kwasababu na wao ni sawa tu na nyara za serikali inatakiwa walindwe ili utamaduni wao usipotee maana baadhi ya watalii wanakuja kuwaangalia Masai tu
Amazon ni urithi mkubwa wa dunia kwa nini hawawaondoshi kifala wakaazi wa mule ?Maasai lazima waondoke Ngorongoro kulinda Hifadhi regardless what, Hifadhi sio malisho ni urithi wa Nchi na Dunia.
Sasa ulichoshuhudia ni kipi?Nashukuru wamasai wamefikisha ujumbe CCM kwamba wanayotutendea watanganyika hayakubaliki Duniani na Mbinguni..
Ujumbe wa leo unatupeleka 2025 kwenye kivumbi na jasho ama kweli Mchengerwa kazi anayo.
Tuombe uzima. Tushuhudia wote anguko la CCM. 2025.
kende ataminywa mamako nyumbani kwenu na huyo mwenyekiti wenu wa ccm muuza bandari.Mtaminywa kende wote mnaopinga. Mkataba wa bandari tulishamaliza ni utekelezaji tu. Sema lingine. Dkt Samia Oyee
Ukombozi una sura mbili. Tukazane na sura zote mbili. Tunatakiwa kunyang’anya kiti cha mamlaka kutoka kwa waliokishikilia ndipo tukapige kura halafu tuzilinde.Tutashinda lakini tutaibiwa kura
Nimeshangaa sana page ya watetezi tv imepost Tundu akiwa mkutanoni na wanchi teleMsipende kuwatafutia umaarufu wajinga. Kitenge ni kitu gani hata umlinganishe na Lisu?
Natamani msiendelee kumjadili huyu MPUMBAVU WA TAIFA
Na nyie mtatiwa vijinga vya moto vinyeoni mwenu wapumbavu wakubwa nyie.Mtaminywa kende wote mnaopinga. Mkataba wa bandari tulishamaliza ni utekelezaji tu. Sema lingine. Dkt Samia Oyee