Tundu Lissu aingia Ngorongoro na kupokelewa kwa kishindo

Mungu daima yupo kazini mkuu
 
Kinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Aliwapa process nzuri mno za kisheria ya kusitisha mikataba ambao ipo binded by law, ila ninyi kwa sijui tuite ushamba mkukurupuka mkashika makontena ya makinia kienyeji, mkitegemea mtalipwa hizo $ Trillions mbili - Swali mmepata ngapi hadi sasa hvi ?
 
Nakala nyingine kwa:Lucas Mbwa Wa Shamba
 
Kinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Yaan wewe ni mbulula Sana. Kwani hatukushtakiwa.? Yaan ufunge na mtu mkataba kisheria halafu uuvunje kienyeji hata kama ni WA kinyonyaji. Kipindi ccm yenu hiyo inausain haikujua kua ni WA kinyonyaji
 
Badala ya kupata sasa wao ndiyo wanafanya kazi ya kugomboa ndege za watanzania mara zinapokamatwa kwa madeni huko nje.
 
Amen,

Ila tuombe serious juu ya familia yetu, maana chama chakavu kikiamua kutupeleka civil war kina uwezo huo.
Wacha watupeleke maana hao hao bado wana ndugu zao hapa hapa bongo
 
Serikali ilitizama kwa macho ya nje kufikiri kuwa katika jamii za watanzania kabila la wamasai ndilo primitive .
Wakaona eneo lao ndilo la kuwauzia wageni na masai akafie mbali.
Hoja hapa ingeliweza kuwa ni kulinda mazingira/ ngara lakini sasa sii hoja maana inakuaje uhamishe watu katika eneo ili uwarithishe watu wengine eneo lilohilo?
Unaondoa wanasai unarithisha waarabu.
Wamasai pambanieni ardhi ya mababu zenu maana hapo ndipo mnapoweza hata kufanya tambiko. Mizimu ya wagosi kule Handeni mnakulazimishiwa haiwatambui ninyi.
 
Tuombe sana tusifike huko. Waongozwao Kwa amri Huwa hawalijui Hilo kabisa, Huwa hawakumbuki mama au watoto, ni amri Kwa amri bas!!

Maombi Yana uwezo kubadili yote.
Mungu ni mwema kila mara
 
Sobhaiiii rafiki
 
Rabbon na Etwege, ni Bora Sana kama mmegundua ukweli. Tangu mwanzo kabisa Lissu hakuwai kuwa upande wa Beberu yoyote akiwemo huyo Acacia, hisipokuwa alikuwa mwangalifu sana kwenye kuvunja mikataba na akaishahuri serikali kama mbuge na mwanasheria.

Kitendo chake cha kusema ukweli kimuudhi Magufuli, aliyekuwa akishauriwa vibaya na wanasheria waliokuwa wakisaka vyeo na madaraka. Kutokana na kwamba JPM alikuwa na hulka ya maamuzi ya papo kwa papo, aliwaamini hao washauri wake na kumuona Lissu adui. Ndipo hapo propaganda za ukibaraka zilipoanzia na kushika kasi kwenye mitandao.

Leo hii, alichokuwa akikiangaliza Lissu ndicho kinachotokea. Tuna kesi nyingi kwenye mahakama za kimataifa, wakitushitaki kuvunja mikataba ileile aliyokuwa akituangaliza Lissu na hao Acacia wakiwemo. Kesi 4 zilizohamuliwa zote tumeshidwa na tunakiwa tulipe. Waliomshauri Magufuli vibaya bado wapo serikalini na wengine kama prof. Mruma alituakilisha hovyo kabisa kwenye kesi mojawapo na tulishidwa vibaya sana. Ni bahati mbaya nchi hii wasema ukweli hawatakiwi hisipokuwa walamba viatu.
 
Ameen ameen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…