Etwege, usibaki gizani, Lissu hakuwa msaliti hisipokuwa alitoa taadhari ya kuvunja mikataba kiholela. Sasa hivi yanatupata. Wasaliti ni wale wanasheria waliomudanganya jpmKinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
ππ Nakumbuka, niliwai mwandikia mtu hivi.. I met this lady when she was pregnant with her son".duh! Kiingereza cha wapi hiki? Mi darasa la nne la miaka hii sijaambulia kitu
Na mimi naitwa Bush Ole Dokta.Huku Ngorongoro yule Mwamba wa Siasa za Tanganyika na Afrika kwa ujumla sasa atafahamika kama ifuatavyo.
Laigwanan Tundu Ole Lissu.
Tafadhali sana kila mara unataka kumtaja au kumwandikia barua au email usisahau kutaja majina yake rasmi.
Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkuu.
Ngongo kwa sasa Ngorongoro
Kings of kingsWarrior culture ya Wamasai imekutana Warrior mwenyewe.
ZinawaumaPorojo
kwanini wamasai wanampenda sana Tundu Lissu kiasi hiki?
King of Kings ni Cheo Cha Mungu, tusianze kufuru.Kings of kings
CV za Boniface Mwabukusi, Tundu Lissu, Peter Madeleka ...na wengine wengi zaonesha wamelowea, wamekulia, wamesoma shule n.k huko kaskazini hususan Arushakwanini wamasai wanampenda sana Tundu Lissu kiasi hiki?
Endeleeni kukufuru maana machadema akili zenu huwa zinawaruka mpaka mnapitiliza mipaka ya kibinadamuππKing of Kings ni Cheo Cha Mungu, tusianze kufuru.
Nyamaza mwanaccm kipofu unaempotosha Mama samiah!!Endeleeni kukufuru maana machadema akili zenu huwa zinawaruka mpaka mnapitiliza mipaka ya kibinadamuππ