Wameanza wao kuweka pingamizi tokea jana lakini wapo watumishi wa NECCCM wenye utu busara wakawa wanampa taarifa zote ndipo na yeye kaamua kuwajibu vizuriUzuri wa Lissu watu wengi bado hawajamuelewa yeye siku zote uwa anapenda haki, sheria ifuatwe na haki itendeke.
Ujanja ujanja kwake no Ni kusimamia ukweli.
Amekwambia hana nguvu? UmeUmepanikiLissu kazidi upumbavu,hivi vitu vidogo ka hivyo ni vya kuanza kuita press na kuweka charges...
Hiyo energy angesave kwaajili ya kampeni ingekua poa...
Sasa hajaenda mahakaman kisa exhaustion then anaonekana energetic akipambana na Mkuu wa nchi....akili ya huyu jamaa ni ndogo asee..
Ama anatafta njia akatwe apate sababu.
Lissu anazingua,Wakili msomi lakini kichwani zeho!
Mkuu si unajua kuna kipindi hapa chuga watu walisema watalichagua jiwe,naona na mwaka huu wanafanya hivyo hivyo.Lipumba nini au Jiwe?
Raisi akitikiswa na akatikisika nchi nzima inatikisika ndio katikiswa sasa na badoAnauwa Chama chenu lakini, Magufuli ni Raisi wa JMTZ na mkuu wa vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, kuanzisha Vita dhidi ya Raisi wa JMTZ ni ujuha, ni watu low IQ ndio wanaweza kufanya hivi, ...
Nakubaliana na wewe, potezea tu maana hawawezi kumkata. Yaani angepotezea kwa woteMimi naona angepotezea tu kikajulikane huko field mbivu na mbichi.
Change yupo willing?Kama wamewekewa pingamizi hapa hawana ujanja. Inabidi wamwite Chenge
👏👏👏👏👏👏Na Siku zote Mwanadamu kama huyu aliye Mkweli, Muwazi, mpenda Haki na si Mnafiki huchukiwa na Watu ila hupendwa sana tu na Mungu / Allah.
Asiye na uzoefu wakujaza hizo fomu ndiye atakayekosea, siyo JPM. Rais JPM ana uzoefu wa kujaza hizo fomu na ni makini, hana papara wala wasiwasi kama Lissu. Jana aliposubilishwa pale Ndejengwa, NEC, akadhani ndio kakwama na kuanza kulalamika.Taarifa kwa Vyombo vya Habari na Umma
Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mhe. Tundu Lissu, akiwa pamoja na Mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais, Mhe. Salum Mwalim Juma Mwalim, muda huu wanaelekea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Uchaguzi House) jijini Dodoma kuwasilisha fomu zake za mapingamizi dhidi ya wagombea wengine katika nafasi ya Urais wa JMT, baada ya hapo atazungumza na Waandishi wa Habari Ofisi za Chadema, Kanda ya Kati, jijini Dodoma.
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
Agosti 26, 2020
View attachment 1548762View attachment 1548764
Tume wamekataa huo ujinga yaani Ccm wàmebanwa kila mahaliCDM wakiweka pingamizi kuna kijani wanadai wanashindana na dola . CCM wakiweka ni haki na wagombea chungu mzima wameenguliwa kimizengwe. Ndio maana yule Diwani aliekatwa Dodoma alidai ' Mie sio mpinzani msinikamate'.
CCM ni chama cha hovyo na kishetani kilichosalia Duniani sasaCDM wakiweka pingamizi kuna kijani wanadai wanashindana na dola . CCM wakiweka ni haki na wagombea chungu mzima wameenguliwa kimizengwe. Ndio maana yule Diwani aliekatwa Dodoma alidai ' Mie sio mpinzani msinikamate'.
Sky, nadhani angelipotezea, likapita wakakutana kwenye uwanja. Hawawezi kumkata hivyo unapotezeaHadi raha
Yule hana noma atawasaidia tu.Change yupo willing?
Na wewe sasa unakuwa kama Lissu living in the past you can’t change what happened that’s notion which needs to hit home, ili aweze kwenda mbele psychologically. If not akishindwa uchaguzi hayo matatizo yake yanaweza ku develop into other more serious forms of stress.
Hivi hapo unaona kuna chochote Lisu anaambulia?..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwaka huu duu...Lissu wahurumie kidogo hawa watu...
Hunizidi mimiNatabasamu tu kwa raha