Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Hizi zako ni stress TAKATIFU.
 
Hapo kutakuwa na makosa kibao ila msishangae Tume kukana hizo nyaraka ingawa wao ndio walimpatia.
Mwaka 2010 wakati wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu, CCM ilikuwa tuondolewe kwenye uchaguzi baada aliyekuwa Katibu mkuu wetu kubugi step na kuonyesha kwa waandishi wa habari barua ambayo tume ilivikutanisha vyama vya CDM na CCM kujadili jambo ambalo CDM walililalamikia na baada ya mkutano huo kuna barua ambayo Tume liviandikia vyama hivyo.
CCM walipofuatwa kuulizwa Katibu mkuu akawaonyesha waandishi barua iliyoandikwa "SIRI", walipofuatwa CDM hawakutoa hiyo barua wala kuingelea lolote lililokuwemo mule, Mnyika ndiye aliyekua kaimu katibu mkuu wakati ule.
Ila kilichokuwepo under the carpet CCM ilikua imetengenezeana zengwe la kuondoana sababu ya Mwenyekiti wetu.
Ila sakata lile lilimalizwa kimya kimya na CDM wakatulia
 
Awamu hii ya mtukufu malaika toka chato haiendeshi Nchi kwa mujibu wa katiba Sheria haki za binadamu bali inaendesha Nchi kwa mujibu wa Sheria binafsi za mtukufu tokea chamwino, Mfano sasa bunge lilishavunjwa kitambo lakini mawaziri wanafanya kazi kama kawaida hata spika huonekana ofisini Bungeni kama kawaida wakati kikatiba kisheria makatibu wakuu ndiyo walipaswa kuzisimamia wizara mpaka uchaguzi ukimalizika
 
Itafaa zaidi wakichomolewa hao tubakie na wawili tu

Maana hao wengine hata hivyo vyama vyao havina uhai
 
Mkuu njoo umuchukue dada yangu umwoe,buureeee ahahaaha
 
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA Mhe. Tundu Lissu tayari amemaliza kuwasilisha mapingamizi dhidi ya wagombea wengine, sasa yupo njiani kwenda ofisi ndogo ya Makao Makuu Kanda ya Kati, kuzungumza na waandishi wa habari saa 11 jioni hii.

Mpaka inafika saa 10: 05 Mhe. Tundu Lissu alikuwa hajawekewa mapingamizi yoyote. Lissu amewasilisha mapingamizi dhidi ya wagombea wawili, Mosi mgombea kupitia chama cha Mapinduzi John Pombe Magufuli na pili Mgombea kupitia chama cha CUF Ibrahim Lipumba.

#NoLissuNoElection

 
Sky, nadhani angelipotezea, likapita wakakutana kwenye uwanja. Hawawezi kumkata hivyo unapotezea
Ingalikua mawazo hayo ungempa yule ocd wa morogoro basi ungalionekana ww ni men of the match.
 
Anachekelea.. huku kakimbia kufika mahakamani leo..
Ana kesi za kujibu.. na bado.. kunogile haswaa..

Pole yake..

Magufuli 2020💯
 
Acha povu tuliza akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…