LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Lissu ni zawadi kwa nchi yetu...Ndio tatizo la nchi hii mtu akionekana ni mdadisi anaonekana ni kero?!! Utiifu wa watu wengi ni wa ki nafiki!! Tatizo la lisu ana akili za mabeberu, hana unafiki, anachokiamini ndio hicho, na ndio alivyozaliwa,
Umezaliwa dodoma weweMoja kwa mojakwenye tittle. Ninachokiamini na ambacho hamtaamini nikwamba, Tanzania Bara yote inakwenda kuwa "a total Green!" kwa maana ya Wabunge wote kuwa waCCM.
Hii ni either JPM yupo au hayupo kwenye Kinyang'anyiro.
Swali ni hili, Lissu au Membe akishinda Urais, atafanyeje kazi ktk Mazingira kama haya??
Ndivyo akili za mashetani huwaza shetani hajawahi tumia akili!!Anachokitafuta atakipata....
Vipi umeshapigwa miti leo na mabeberuLisu baada ya oktoba atakimbilia kwa beberu wake amsterdam
Alichofanya tofauti nini, nyie ndio mnasemaga mfalme haendi chooni.Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.
Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.
Lissu is not fit for office
Magufuli ashauriwe urais wake auache kwenye gari? Kwa lugha yoyote itakayotumia bila msaada wa jaji Magu hajiwezi labda aandiwe then kule akasome tuNililisema hili jana. Nikasema:
Kwa hiyo kuna uwezekano Lissu anaweza kumuwekea pingamizi Magufuli siku ya kesho.
Hali hiyo itamlazimisha Magufuli arudi ofisi za Tume kujibu madai ya Lissu na hilo litawakutanisha mahasimu hao uso kwa uso. Juhudi za ziada zilitumika kuepusha hilo kwenye mazishi ya Mkapa, sioni kwenye hili kama wataweza kuzuia.
Hii inanikumbusha Ali vs. Foreman.
Uchaguzi huu utakumbukwa kwa vizazi vingi. Natumaini vurugu zikome tupambane kwa hoja na mbinu za amani za kisiasa.
Endeleeni kujazana ujinga.Ndivyo akili za mashetani huwaza shetani hajawahi tumia akili!!
Swala anamkimbiza simba.Kibao kikigeuka useme hivyo hivyo bwashee!
Ina maana huwezi kuona utofauti wa Mheshimiwa Lissu na Magu?
Kwa hyo anaweza hats kujaza fomu hovyohovyo tu eeh akaachwa.akili za wanalumumba mnazijua wenyeweRaisi wa JMTZ ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa, hiyo ni Katiba ya JMTZ, huyo low IQ wenu anawadanganya na kuwapotosha, kwangu mimi ni Maajabu hata mnaweza ongozwa na kumfwata Binadamu kama huyo, hata simple logic hana, siajabu hata yeye ni kama wewe anaamini kweli kabisa kwamba Magufuli siyo Raisi wa JMTZ kwa sasa!
Ujinga upi unahisi unatumia akili zako kufikiri!?Endeleeni kujazana ujinga.
Kwahiyo waliotunga sheria ya pingamizi ni vituko?Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.
Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.
Lissu is not fit for office
Hahaha rais wa Tanzania hategemei bunge, yeye ni rais, yeye ni bunge, yeye ni mahakama.Moja kwa mojakwenye tittle. Ninachokiamini na ambacho hamtaamini nikwamba, Tanzania Bara yote inakwenda kuwa "a total Green!" kwa maana ya Wabunge wote kuwa waCCM.
Hii ni either JPM yupo au hayupo kwenye Kinyang'anyiro.
Swali ni hili, Lissu au Membe akishinda Urais, atafanyeje kazi ktk Mazingira kama haya??
Mimi siyo Lisu mkuu!
Chukua moja baridi ntalipa siyo kwa kunikosha hukoLisu ni Saizi kabisa ya Magufuli. Akipiga ya Jicho piga ya Sikio akiuliza unaonaje muulize unajisikiaje.
Vipi wewe na Lissu?Acha utan mkuu,
Ina maana huwezi kuona utofauti wa Mheshimiwa Lissu na Magu?
Kuanzia ujengaji wa hoja na kuitetea, uelewa wa mambo, convicing power ya Lissu vs maguvu ya Magu, na mambo kama hayo? Lissu is the best, huwezi compare na Magu, Lissu yupo mbele hatua 100,
Nikuulize wewe unayejazwa ujinga na mgojnwa wa akili.watu wametulia tu hawana time nae,si kuna kitu mnakitaka? Mtakipata soonUjinga upi unahisi unatumia akili zako kufikiri!?
Nikuulize wewe unaetumia akili za mgonjwa wa akili kufikiri.Ujinga upi unahisi unatumia akili zako kufikiri!?
HOJA?Hii ni Tanzania siyo Lesotho.