Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Moja kwa mojakwenye tittle. Ninachokiamini na ambacho hamtaamini nikwamba, Tanzania Bara yote inakwenda kuwa "a total Green!" kwa maana ya Wabunge wote kuwa waCCM.

Hii ni either JPM yupo au hayupo kwenye Kinyang'anyiro.

Swali ni hili, Lissu au Membe akishinda Urais, atafanyeje kazi ktk Mazingira kama haya??
Umezaliwa dodoma wewe
 
Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.

Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.

Lissu is not fit for office
Alichofanya tofauti nini, nyie ndio mnasemaga mfalme haendi chooni.
 
Mwenzenu anamsumbua magu kichwa nyie mpo humu hata kumkosoa mbunge live hamuwezi
 
Nililisema hili jana. Nikasema:

Kwa hiyo kuna uwezekano Lissu anaweza kumuwekea pingamizi Magufuli siku ya kesho.

Hali hiyo itamlazimisha Magufuli arudi ofisi za Tume kujibu madai ya Lissu na hilo litawakutanisha mahasimu hao uso kwa uso. Juhudi za ziada zilitumika kuepusha hilo kwenye mazishi ya Mkapa, sioni kwenye hili kama wataweza kuzuia.

Hii inanikumbusha Ali vs. Foreman.

Uchaguzi huu utakumbukwa kwa vizazi vingi. Natumaini vurugu zikome tupambane kwa hoja na mbinu za amani za kisiasa.
Magufuli ashauriwe urais wake auache kwenye gari? Kwa lugha yoyote itakayotumia bila msaada wa jaji Magu hajiwezi labda aandiwe then kule akasome tu
 
Acha utan mkuu,
Kingine kipi tofauti na 16 bullets

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ina maana huwezi kuona utofauti wa Mheshimiwa Lissu na Magu?
Kuanzia ujengaji wa hoja na kuitetea, uelewa wa mambo, convicing power ya Lissu vs maguvu ya Magu, na mambo kama hayo? Lissu is the best, huwezi compare na Magu, Lissu yupo mbele hatua 100,
 
Raisi wa JMTZ ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa, hiyo ni Katiba ya JMTZ, huyo low IQ wenu anawadanganya na kuwapotosha, kwangu mimi ni Maajabu hata mnaweza ongozwa na kumfwata Binadamu kama huyo, hata simple logic hana, siajabu hata yeye ni kama wewe anaamini kweli kabisa kwamba Magufuli siyo Raisi wa JMTZ kwa sasa!
Kwa hyo anaweza hats kujaza fomu hovyohovyo tu eeh akaachwa.akili za wanalumumba mnazijua wenyewe
 
Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.

Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.

Lissu is not fit for office
Kwahiyo waliotunga sheria ya pingamizi ni vituko?
 
Moja kwa mojakwenye tittle. Ninachokiamini na ambacho hamtaamini nikwamba, Tanzania Bara yote inakwenda kuwa "a total Green!" kwa maana ya Wabunge wote kuwa waCCM.

Hii ni either JPM yupo au hayupo kwenye Kinyang'anyiro.

Swali ni hili, Lissu au Membe akishinda Urais, atafanyeje kazi ktk Mazingira kama haya??
Hahaha rais wa Tanzania hategemei bunge, yeye ni rais, yeye ni bunge, yeye ni mahakama.

Hilo halitabadirika mpaka tupate katiba mpya.

Hujiulizi Magufuli alifanyaje kazi, bila bunge, wala mahakama kumgusa, bali yeye ndiye aliviongoza?!

Ndiyo maana Mtikila alipigania Mgombea huru, na ndio maana unaona kuna vyama vina mgombea urais lakini havina mgombea ubunge wala udiwani nchi nzima.

Wake up!
 
Acha utan mkuu,

Ina maana huwezi kuona utofauti wa Mheshimiwa Lissu na Magu?
Kuanzia ujengaji wa hoja na kuitetea, uelewa wa mambo, convicing power ya Lissu vs maguvu ya Magu, na mambo kama hayo? Lissu is the best, huwezi compare na Magu, Lissu yupo mbele hatua 100,
Vipi wewe na Lissu?
 
Ujinga upi unahisi unatumia akili zako kufikiri!?
Nikuulize wewe unayejazwa ujinga na mgojnwa wa akili.watu wametulia tu hawana time nae,si kuna kitu mnakitaka? Mtakipata soon
 
Back
Top Bottom