Afande Tanzania
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 460
- 1,169
He is my role model.Vipi wewe na Lissu?
Acha kutishia watu jinga na mpumbavu ww!Nikuulize wewe unayejazwa ujinga na mgojnwa wa akili.watu wametulia tu hawana time nae,si kuna kitu mnakitaka? Mtakipata soon
Nisingekuwa na jeuri ya kujibu kama ningekuwa nalala kwa shemeji.jeuri ninayo na uwezo ninao,na sijatishia mtu,nasema ukweli.Acha kutishia watu jinga na mpumbavu ww!
Eti "kuna kitu mnakitafuta, mtakipata"
Huu upumbavu huu, hoja hujibiwa kwa hoja, jinai mtu hupelekwa polisi kisha mahakamani, unatishia tishia watu kumbe unalala sebuleni kwa shemji yako
Mbona tayari jamaa ana trend kinoma?hivi ana haja ya kiki?Baada ya kushindikana kupatikana kwa kiki ya kukamatwa na mahakama pamoja na kiki ya kuwekewa pingamizi au kufutwa kugombea uraisi, sasa ameona akatimue vumbi kwenye jumba la uchaguzi. Watanzania tuwe makini na watu wanaoshabikia hizi vumbi za Lissu, hawaitakii mema nchi yetu. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Kwan umeambiwa some? Mbona jana MAGUFULI alipoenda kukagua magari ya kupora toka kwa watu alitangaza fungal dome lakoMbona wenzie wamepeleka mapingamizi kimya kimya!
Huyu Lisu anapenda kiki!
Mkuu urais wake si unaishia JF tu? Hivyoo humu lazima apate kiki ya kutosha.Mbona wenzie wamepeleka mapingamizi kimya kimya!
Huyu Lisu anapenda kiki!
Kiongozi uko vizuri kwa kuwa straight bila kuvuta ngozi kwako. Kiukweli kama tume ilipitisha tu form kwa sababu fulani au kuna makosa ya kiufundi kwenye taratibu za uteuzi, ngoja sheria ichukue mkondo wake. Hii itafanya watu waheshimiane.Na Siku zote Mwanadamu kama huyu aliye Mkweli, Muwazi, mpenda Haki na si Mnafiki huchukiwa na Watu ila hupendwa sana tu na Mungu / Allah.
Duh...inawezekana mtaani au kijijini kwako wana shida Kama ni hivyo...He is my role model.
Ndugu sio mbaya kuendelea kutafuta pa kuegemea. AMENMoja kwa mojakwenye tittle. Ninachokiamini na ambacho hamtaamini nikwamba, Tanzania Bara yote inakwenda kuwa "a total Green!" kwa maana ya Wabunge wote kuwa waCCM.
Hii ni either JPM yupo au hayupo kwenye Kinyang'anyiro.
Swali ni hili, Lissu au Membe akishinda Urais, atafanyeje kazi ktk Mazingira kama haya??
Usichezee mbupu mzeeCcm wamekaba koo, chadema wameshika punmbu... nani ataachia. Hahahahaha
Je kama mgombea hajui sheria itakuajeUtaratibu wa mapingamizi ni kwamba MUWEKA pingamizi na MUWEKEWA pingamizi lazima wakutanishwe na Tume ya Uchaguzi ili aliyewekewa pingamizi aweze kujibu na kwa mujibu ya sheria anaeruhusiwa kujibu pingamizi ni mgombea mwenyewe hakuna anaeruhusiwa kujibu kwa niaba.
Subiri mapingamizi bwashee. Utamu unakuja kwenye kiingerezaUpinzani hauna guts na resources za kuexecute haya yanayoendelea. Mabeberu nguvu yao ipo kwenye vikwazo, Hivi Wale chama tawala asili waliokuwa wanasemwa semwa walipotelea wapi?
Wewe jipe moyo tu,ukija kuhamaki Mushakuwa wapinzani.Soma alama za nyakatiMkuu urais wake si unaishia JF tu? Hivyoo humu lazima apate kiki ya kutosha.