Anauwa Chama chenu lakini, Magufuli ni Raisi wa JMTZ na mkuu wa vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, kuanzisha Vita dhidi ya Raisi wa JMTZ ni ujuha, ni watu low IQ ndio wanaweza kufanya hivi, ...
Ninyi ndio wajinga mliobakia nchi Rais sio mkubwa kwa katiba na sheria za nchiWewe unaweza kuona Lissu anatumia haki zake lakini tatizo hapo kama unaelewa ‘psychology’ ya impact za kukutana na ‘life changing events’ kama tukio la Lissu side effects ni rebellion na kutokukubali ukweli.
Lissu anatakiwa akubali Magufuli ni raisi wa Tanzania na ana nguvu kubwa kutokana katiba yetu. Kwenda kutembea na ma body guards wanakimbiza gari yake kama na yeye mtu muhimu akumuweki on equal na raisi wa Tanzania.
Kukataa hadharani hakuna kitu Magufuli amefanya hayo mambo yamefanywa na wakoloni ya kujenga miundombinu etc.
Kudhamiria kushinda uchaguzi kwa sababu ya kumshinda Magufuli ukisikiliza speech zake badala ya kwenda kuwatumikia watanzania.
Barua zake za ovyo zenye empty threats na dilusions za international community nyuma yake kwenye uchaguzi.
Ushahidi ni mwingi mpaka sasa serikali inafanya kazi ya ‘baby sitting’ tu amalizane na emotional issues zake; hila he is becoming erratic as days go anahitaji intervention huyo mtu kumsaidia kimawazo.
Naona ocd wa morogoro umehamaki vibayaLissu kazidi upumbavu,hivi vitu vidogo ka hivyo ni vya kuanza kuita press na kuweka charges...
Hiyo energy angesave kwaajili ya kampeni ingekua poa...
Sasa hajaenda mahakaman kisa exhaustion then anaonekana energetic akipambana na Mkuu wa nchi....akili ya huyu jamaa ni ndogo asee..
Ama anatafta njia akatwe apate sababu.
Lissu anazingua,Wakili msomi lakini kichwani zeho!
Kama vile majaaliwa alivo wachiwaHii angeacha tu
Hahahaha umepaniki wewe nzi wa kijani hahahahaha aagh tulieniNyumbu mna kazi sana.
Hivi kwa akili zenu za kinyumbu kwamba Mgombea wa ccm ataenguliwa!!!!!!
Kwa kweli Lofa ni Lofa tu (RIP Mkapa)
Acha ujinga wewe inaelekea hata hujui kinachoendelea huko NECCCM Tumeccm, Tambua kuwa licha figisu figisu za CCM kule NECCCM wapo watumishi wanampenda Tundu lisu wamempa taarifa kuwa kawekewa pingamizi na CCM, Lipumba , Shibuda na wengineo ambao wamenunuliwa na CCM kwa njia haramu ndipo na yeye kaamua kuweka pingamizi haraka, sasa ngoja mapingamizi yagongane huko huko ili CCM wapate kujifunza kuwa figisu figisu za kishamba huleta mlolongo mwingine usio na Tija kwa Taifa,Yule aliyekosea kujaza fomu na ni PhD tena mweshimiwa na akiwa majukwaani anaona wengine wote ni vilaza wa nchi
Ahahaha,kama nini?
Na wewe sasa unakuwa kama Lissu living in the past you can’t change what happened that’s the notion which needs to hit home, ili aweze kwenda mbele psychologically. If not akishindwa uchaguzi hayo matatizo yake yanaweza ku develop into other more serious forms of stress...kwa vyovyote vile aliyeondoa ulinzi area D, dodoma, eneo aliposhambuliwa tundu lissu, ni mtu mwenye madaraka makubwa.
Bwana yuleNani kawekewa pingamizi na nani?
Ile kanga uliyojifunga kiunoni uliyokua ukicheza baikoko kwa ushindi wa wabunge wa viti maalum walio tangaazwa Jana umeiweka wapi yule Dada anataka mwenyeweNa yeye kama kawekewa akienguliwa msije kulialia humu
Subiri awatekenye mpate akiliLissu kazidi upumbavu,hivi vitu vidogo ka hivyo ni vya kuanza kuita press na kuweka charges...
Hiyo energy angesave kwaajili ya kampeni ingekua poa...
Sasa hajaenda mahakaman kisa exhaustion then anaonekana energetic akipambana na Mkuu wa nchi....akili ya huyu jamaa ni ndogo asee..
Ama anatafta njia akatwe apate sababu.
Lissu anazingua,Wakili msomi lakini kichwani zeho!
KumbeAcha ujinga wewe inaelekea hata hujui kinachoendelea huko NECCCM Tumeccm, Tambua kuwa licha figisu figisu za CCM kule NECCCM wapo watumishi wanampenda Tundu lisu wamempa taarifa kuwa kawekewa pingamizi na CCM, Lipumba , Shibuda na wengineo ambao wamenunuliwa na CCM kwa njia haramu ndipo na yeye kaamua kuweka pingamizi haraka, sasa ngoja mapingamizi yagongane huko huko ili CCM wapate kujifunza kuwa figisu figisu za kishamba huleta mlolongo mwingine usio na Tija kwa Taifa,
Taarifa kwa Vyombo vya Habari na Umma
Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mhe. Tundu Lissu, akiwa pamoja na Mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais, Mhe. Salum Mwalim Juma Mwalim, muda huu wanaelekea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Uchaguzi House) jijini Dodoma kuwasilisha fomu zake za mapingamizi dhidi ya wagombea wengine katika nafasi ya Urais wa JMT, baada ya hapo atazungumza na Waandishi wa Habari Ofisi za Chadema, Kanda ya Kati, jijini Dodoma.
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
Agosti 26, 2020
View attachment 1548762View attachment 1548764
Uzuri wa Lissu watu wengi bado hawajamuelewa yeye siku zote uwa anapenda haki, sheria ifuatwe na haki itendeke.
Ujanja ujanja kwake no Ni kusimamia ukweli.