Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Wewe unaweza kuona Lissu anatumia haki zake lakini tatizo hapo kama unaelewa ‘psychology’ ya impact za kukutana na ‘life changing events’ kama tukio la Lissu side effects ni rebellion na kutokukubali ukweli.

Lissu anatakiwa akubali Magufuli ni raisi wa Tanzania na ana nguvu kubwa kutokana katiba yetu. Kwenda kutembea na ma body guards wanakimbiza gari yake kama na yeye mtu muhimu akumuweki on equal na raisi wa Tanzania.

Kukataa hadharani hakuna kitu Magufuli amefanya hayo mambo yamefanywa na wakoloni ya kujenga miundombinu etc.

Kudhamiria kushinda uchaguzi kwa sababu ya kumshinda Magufuli ukisikiliza speech zake badala ya kwenda kuwatumikia watanzania.

Barua zake za ovyo zenye empty threats na dilusions za international community nyuma yake kwenye uchaguzi.

Ushahidi ni mwingi mpaka sasa serikali inafanya kazi ya ‘baby sitting’ tu amalizane na emotional issues zake; hila he is becoming erratic as days go anahitaji intervention huyo mtu kumsaidia kimawazo.
Ninyi ndio wajinga mliobakia nchi Rais sio mkubwa kwa katiba na sheria za nchi
 
Lissu kazidi upumbavu,hivi vitu vidogo ka hivyo ni vya kuanza kuita press na kuweka charges...
Hiyo energy angesave kwaajili ya kampeni ingekua poa...
Sasa hajaenda mahakaman kisa exhaustion then anaonekana energetic akipambana na Mkuu wa nchi....akili ya huyu jamaa ni ndogo asee..
Ama anatafta njia akatwe apate sababu.
Lissu anazingua,Wakili msomi lakini kichwani zeho!
Naona ocd wa morogoro umehamaki vibaya
 
Yule aliyekosea kujaza fomu na ni PhD tena mweshimiwa na akiwa majukwaani anaona wengine wote ni vilaza wa nchi
Acha ujinga wewe inaelekea hata hujui kinachoendelea huko NECCCM Tumeccm, Tambua kuwa licha figisu figisu za CCM kule NECCCM wapo watumishi wanampenda Tundu lisu wamempa taarifa kuwa kawekewa pingamizi na CCM, Lipumba , Shibuda na wengineo ambao wamenunuliwa na CCM kwa njia haramu ndipo na yeye kaamua kuweka pingamizi haraka, sasa ngoja mapingamizi yagongane huko huko ili CCM wapate kujifunza kuwa figisu figisu za kishamba huleta mlolongo mwingine usio na Tija kwa Taifa,
 
..kwa vyovyote vile aliyeondoa ulinzi area D, dodoma, eneo aliposhambuliwa tundu lissu, ni mtu mwenye madaraka makubwa.
Na wewe sasa unakuwa kama Lissu living in the past you can’t change what happened that’s the notion which needs to hit home, ili aweze kwenda mbele psychologically. If not akishindwa uchaguzi hayo matatizo yake yanaweza ku develop into other more serious forms of stress.
 
Tukiwaambia chadema ni wajinga wanatokwa povu!

Wenzenu huku tayari wana wabunge 22 nyie bado mnahangaika kukagua form?
Mambo mengine ni ujuaji ambao hauna maana.

Kwahiyo anategemea kuna mtu ataenguliwa ili yeye abaki peke yake?
 
Lissu kazidi upumbavu,hivi vitu vidogo ka hivyo ni vya kuanza kuita press na kuweka charges...
Hiyo energy angesave kwaajili ya kampeni ingekua poa...
Sasa hajaenda mahakaman kisa exhaustion then anaonekana energetic akipambana na Mkuu wa nchi....akili ya huyu jamaa ni ndogo asee..
Ama anatafta njia akatwe apate sababu.
Lissu anazingua,Wakili msomi lakini kichwani zeho!
Subiri awatekenye mpate akili
 
Acha ujinga wewe inaelekea hata hujui kinachoendelea huko NECCCM Tumeccm, Tambua kuwa licha figisu figisu za CCM kule NECCCM wapo watumishi wanampenda Tundu lisu wamempa taarifa kuwa kawekewa pingamizi na CCM, Lipumba , Shibuda na wengineo ambao wamenunuliwa na CCM kwa njia haramu ndipo na yeye kaamua kuweka pingamizi haraka, sasa ngoja mapingamizi yagongane huko huko ili CCM wapate kujifunza kuwa figisu figisu za kishamba huleta mlolongo mwingine usio na Tija kwa Taifa,
Kumbe
 
Taarifa kwa Vyombo vya Habari na Umma

Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mhe. Tundu Lissu, akiwa pamoja na Mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais, Mhe. Salum Mwalim Juma Mwalim, muda huu wanaelekea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Uchaguzi House) jijini Dodoma kuwasilisha fomu zake za mapingamizi dhidi ya wagombea wengine katika nafasi ya Urais wa JMT, baada ya hapo atazungumza na Waandishi wa Habari Ofisi za Chadema, Kanda ya Kati, jijini Dodoma.

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
Agosti 26, 2020

View attachment 1548762View attachment 1548764

Safi sana. Mpaka kieleweke. Ni Mhe. LISSU atakayeikomboa nchi hii na ujinga mwingi wa kimazoea na kimfumo uliojengwa na fisiemu kwa miaka mingi.
 
Back
Top Bottom