Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Raisi wa JMTZ ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa, hiyo ni Katiba ya JMTZ, huyo low IQ wenu anawadanganya na kuwapotosha, kwangu mimi ni Maajabu hata mnaweza ongozwa na kumfwata Binadamu kama huyo, hata simple logic hana, siajabu hata yeye ni kama wewe anaamini kweli kabisa kwamba Magufuli siyo Raisi wa JMTZ kwa sasa!
Magufuli ni kaimu Rais kwa sasa hata Ule ulinzi wake unapaswa kupunguzwa kuendelea kuwa na walinzi kibao ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi
 
Lissu kazidi upumbavu,hivi vitu vidogo ka hivyo ni vya kuanza kuita press na kuweka charges.

Hiyo energy angesave kwaajili ya kampeni ingekua poa.

Sasa hajaenda mahakaman kisa exhaustion then anaonekana energetic akipambana na Mkuu wa nchi....akili ya huyu jamaa ni ndogo asee..
Ama anatafta njia akatwe apate sababu.

Lissu anazingua,Wakili msomi lakini kichwani zeho!

Pingamizi la kuweza kumuengua mgombea wa nafasi ya urais unasema ni kitu kidogo sasa kuna jambo kubwa kuliko hilo au pengine una tatizo la uelewa. Kama ni jambo dogo mbona tume ilitangaza kwenye press muda wa kuweka pingamizi.
 
BAVICHA TAIFA,

Yaonekana pana mtu alikuwa kapanga kufika tume kimya kimya mida ya 16:00 na mapingamizi lukuki.

Kutoa ngoma droo, ilipaswa kwenda mwendo huo huo wa kimya kimya na mida pendwa ya16:00.

Suluhu twende tu kwa wananchi.

Tukubaliane tu bandugu mizengwe sasa, - basi.
Haswaa. bao la kisigino.
 
Mwaka 2010 wakati wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu, CCM ilikuwa tuondolewe kwenye uchaguzi baada aliyekuwa Katibu mkuu wetu kubugi step na kuonyesha kwa waandishi wa habari barua ambayo tume ilivikutanisha vyama vya CDM na CCM kujadili jambo ambalo CDM walililalamikia na baada ya mkutano huo kuna barua ambayo Tume liviandikia vyama hivyo.

CCM walipofuatwa kuulizwa Katibu mkuu akawaonyesha waandishi barua iliyoandikwa "SIRI", walipofuatwa CDM hawakutoa hiyo barua wala kuingelea lolote lililokuwemo mule, Mnyika ndiye aliyekua kaimu katibu mkuu wakati ule.

Ila kilichokuwepo under the carpet CCM ilikua imetengenezeana zengwe la kuondoana sababu ya Mwenyekiti wetu.
Ila sakata lile lilimalizwa kimya kimya na CDM wakatulia
Kwahiyo mchezo unajirudia mheshimiwa?
 
Magufuli ni kaimu Rais kwa sasa hata Ule ulinzi wake unapaswa kupunguzwa kuendelea kuwa na walinzi kibao ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi


Hata mgombea wako Low IQ anaamini hivyo kama wewe!
 
Wakati Lissu ameweka wazi kuwa ameweka pingamizi/mapingamizi, naomba nitabiri tu kuwa kitachotokea katika kuamua juu ya mapingamizi hayo, ni mapingamizi hayo ya Lissu na ya wagombea wengine (kama yatakuwepo), yote yatatupwa.

Lissu ni kioona mbali na anajua afanye nini katika wakati sahihi.

Mshindi hapa atakuwa ni nani, nakuachia msomaji.
This is an intelligent move, ni wachache wataielewa.

Inawezekana Lissu akawekewa pingamizi kisha akaitwa late hours kujibu then simply wanamblock asifike kwa wakati ili wamuengue kwa hila.

Kitendo cha yeye kuwepo pale ofisi za tume na kuwekea pingamizi mgombea/wagombea wengine ni kizuri kwa kuwa kinamfanya awepo pale ili kama kuna pingamizi dhidi yake atalijibu pia.
 
Tukiwaambia chadema ni wajinga wanatokwa povu!

Wenzenu huku tayari wana wabunge 22 nyie bado mnahangaika kukagua form?
Mambo mengine ni ujuaji ambao hauna maana.

Kwahiyo anategemea kuna mtu ataenguliwa ili yeye abaki peke yake?
mkuu lakini sheria si msumeno, acha ifuate mkondo wake
 
Umepaniki wewe, unaumwa sio bure!
Raisi wa JMTZ ni raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa, hiyo ni Katiba ya JMTZ, huyo low IQ wenu anawadanganya na kuwapotosha, kwangu mimi ni Maajabu hata mnaweza ongozwa na kumfwata Binadamu kama huyo, hata simple logic hana, siajabu hata yeye ni kama wewe anaamini kweli kabisa kwamba Magufuli siyo Raisi wa JMTZ kwa sasa!
 
kuna mtu katafuta kiki for 5 bloody years. Lissu kaikamata nchi ndani ya mwezi mmoja tu watu tayari jamba-jamba.

ndio mjue hizo SGR & Stiegler's Gorge zenu Lissu akiamua kuzijenga hawezi kuchukua miaka yote 15 ambayo JPM anahitaji.

mwacheni mwanaume wa ukweli awanyooshe, mlizoea vya kunyonga shubaaamit!
Hata Mimi nikiwa Rais naweza Jenga sgr sio kazi ngumu.

Hata presidential decree unajenga unakaba huku na unakaba kule reli hio hapo.

Watu wanataka mkate wa kula njaa zinauma ndio hao wako nyuma ya Lissu.
 
Back
Top Bottom