Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
..sidhani kama angetumia zaidi ya dakika 10 kuzungumza na kusalimiana na watu hapo barabarani.
..TL amepita maeneo mengi hapa nchini na hakukuwa na matatizo yoyote, tena hata majuzi alianza kuwasifia jeshi la polisi.
..sidhani kama kuna ulazima wa kupiga mabomu kampeni ya chama chochote kile. kwa ujumla wananchi wamekuwa watulivu, wameonyesha uchangamfu, furaha, na hamasa, sidhani kama ni busara kwa jeshi la Polisi kuwapiga mabomu wananchi walio katika hali hiyo.
Kwa aliyoyaongea yule bosi wa NEC, na hili la polisi, nahisi kuna shinikizo kutoka ofisi kuu.
Wameona wanapoteza baada ya kumpa Lissu fair ground, walimu underrate mwanzoni.
Sasa hivi ndo kampeni zimeanza sasa, tusubiri kuona mengi.