Kwani Iddi Amini hakuwa na raia waliomwelewa na kumkubali. Kwenye mazishi yake tuliona chawa wake na mapolisi wakilazimisha watu wafunge biashara waende msibani ili kuongeza namba ya waombelezajiIla naona raia walimuelewa na kumkubali hivyo hivyo ndio maana hawakumsusa kwenye mazishi yake pamoja ya kuwa alikuwa anawauwa na kuwafanyia roho mbaya.
Nadhani amebeba majibu ya jumla kutokana na tawala zilizopita katika hii nchi.Usiwasingizie wakristo kwa ushetani wa mtu mmoja,tukisema yule jamaa ni alikuwa shetani chawa wake wanakuja juu
Umefirisika kisiasa wewe sukuma gangdelete your account!
Wapuuzi ni wazazi wakoNdiyo maana miradi ya maendeleo haiendi kisa pesa anapewa mpuuzi Tundu Lissu
Wanao mharibia mama ni uvccm ambao wanataka muda wote nchi isiwe na utangamano ili waendelee kuuza maneno ya majungu.Hakika,aliyemharibia ni yule alimshauri atoke BBC nakusema TZ tunagaidi SUGU alikuwa akikimbia Nchi.Huyu mtu Mama kama anamjua atutangazie wananchi tumjue.Ni mchochezi sana.
Aisee ujue mtu wa hovyo daima haonagi aibuNdugai anajisikiaje?
Yes, Ndio hao Zitto aliwashauri wakajizike karibu na kaburi la yule mzee alowapandikiza hizo roho mbaya! Nina hakika Samia hata akifa leo ameshaweka legarcy kubwa sana kuliko JPM aliyetawala zaidi ya 5yrs!Kuna wana CCM hawatapenda hii kitu.
Walijitokeza kwa wingj kujiaminisha kama kweli shetani kafa au anawazuga. Baada ya kuthibitisha kadedi wakaamua wakahakikishe kabisa kama shetani kazikwa.... baada ya hapo nchi imetulia kwa amaniIla naona raia walimuelewa na kumkubali hivyo hivyo ndio maana hawakumsusa kwenye mazishi yake pamoja ya kuwa alikuwa anawauwa na kuwafanyia roho mbaya.
Naona unaongea huku kooni umekabwa na rundo la chuki kuu.Ugomvi wa magufuli na chadema ulikuwa kwenye MASLAHI.
huwezi tena kuwasikia Sasa hivi Wana matonge mdomoni.
Hawawezi kuongea.
Nyie wengine mpambane na hali ZENU
Labda wewe raia kutoka burundi ndiyo ulimkubaliIla naona raia walimuelewa na kumkubali hivyo hivyo ndio maana hawakumsusa kwenye mazishi yake pamoja ya kuwa alikuwa anawauwa na kuwafanyia roho mbaya.
Aiseee mama hakika angalau kwa hapa alipo fikia panatia matumainiSamia yupo Samia yupo
Ukiona kundi la chadema Samia yupo.
Mama Samia fungua magereza watoke,
..... haya niongezee kiitikio cha @zito kabwe au kiitikio cha Nape Nnauye
Kina Mariamungu walimuelewa sana hadi kumuita Mungu wao wa Uganda.Kwani Iddi Amini hakuwa na raia waliomwelewa na kumkubali. Kwenye mazishi yake tuliona chawa wake na mapolisi wakilazimisha watu wafunge biashara waende msibani ili kuongeza namba ya waombelezaji
Naunga mkono, mama ana nia safi ila atakwamiahwa na wanaccm kwani wengi wao wana uwezo mdogo wa uwongozi na wanataka wapate madaraka Kwa kufanyiwa feverWanao mharibia mama ni uvccm ambao wanataka muda wote nchi isiwe na utangamano ili waendelee kuuza maneno ya majungu.
Kuwakusanya watu kwa kiwango kile kinahitaji nguvu ya jeshi kuwatoa watu majumbani na maeneo yote ya kazi na sio kufunga maduka tu, kulikuwa kuna hadi familia zilizopoteza maisha kwenye harakati za kumuaga huyo jamaa.Kwani Iddi Amini hakuwa na raia waliomwelewa na kumkubali. Kwenye mazishi yake tjliona chawa wake na mapolisi wakilazimisha watu wafunge biashara waende msibani ili kuongeza namba ya waombelezaji
Sasa wale waliojaa kwenye mazishi yake ni rai kutoka Burundi?Labda wewe raia kutoka burundi ndiyo ulimkubali
Your hero and not our hero