Tundu Lissu: Rais Samia na Mbarawa wameiuza Tanganyika yetu kwa Waarabu
Nimesikiiza hotuba yako ukiwaasa watanzania kuwa: Tanzania ni moja, kamwe tusikubali kugawanyika

Kwa kuziuza bandari za Tanganyika na kuziacha za Zanzibar, kwa mtu mwenye akili, anayejitambua, mwenye kufikiri, logical conclusion kutokana na kitendo hicho (cha kuacha bandari za zanzibar na kugawa za tanganyika, ) ni kuwa wewe Umeshaigawa Tanzania...kupata Tanganyika na Zanzibar

Brevity ni kuachana na biashara hiyo na DP World.
 
Nimeeleza, lkn kwa vile huwezi kufikiri hujaona
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar alishasema Swala la Bandari kila upande Unajitegemea hayaingiliani sasa wewe ugumu wa ubongo wako kuelewa unasabanishwa na nini? Mbege?!!😃😃😃
 
Alimzuia ndugai kuzungumzia nchi kupigwa mnada, sasa hataweza kuwazuia Watanganyika wote, mikataba yote mibovu aliyoridhia ipitiwe upya
 
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar alishasema Swala la Bandari kila upande Unajitegemea hayaingiliani sasa wewe ugumu wa ubongo wako kuelewa unasabanishwa na nini? Mbege?!!😃😃😃
Mbowe alisema kitu kwanini wote wawe wazanzibar waliohusika kwenye swala la mali za WaTanganyika linafikirisha japo huyu ni mteule ila linafikirisha sana.

Na kingine Samia ni Rais wa wapi si Wa Kote so kwanini asishauriane na Serikali ya Zanzibar kuwapelekea na wao hii DIPIWEDI?

Yani Leo Samia atupende sana Bara Kuliko Kwao?
Inafikirisha sana Mkuu.
 
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar alishasema Swala la Bandari kila upande Unajitegemea hayaingiliani sasa wewe ugumu wa ubongo wako kuelewa unasabanishwa na nini? Mbege?!!😃😃😃
Tunamsikiza mtu au sheria na katiba...kichwa chako kama cha kuku katika kudadavua mambo
Angalian namba 11 kwenye attachment hii
 

Attachments

Hakuna mwanamchi ambaye hapendi maendeleo hilo mlielewe , Ila hofu ya wananchi hasa watanganyika ni huu mkataba DP World ni wakijanja janja , yaani ni ile ile staili ya mtego wa kumkamata panya , unaweka nyama nono kwenye kandoano cha ule mtego wa kukaba shingo, hatutaki kukabwa shingo kwa miaka hiyo ambayo haijulikani , ni 99, ni milele , yaani ni mtego.

Watanganyika wamechoka kuibiwa na kugeuzwa vichwa vya mwendawazimu , Hao DP WORLD Kama ni wenye nia nzuri Basi wasitukabe kihivyo , walekebishe Yale masharti ambayo watanganyika wanayaona ni mtego kwao .

View attachment 2665119
Mwimbo wa zamani huu,watu washauchoka.Sasa hivi ni MoA ya serekali na kanisa.
 
Mkataba unapotoshwa na wenye malengo binafsi machafu. Wanashindwa kugundua kwamba Kagame kajenga Dry Port kwao na yupo tayari kwa ajili ya DPW halafu sisi wenye bandari tunakuja na visa vya kuchekesha vya eti mwarabu aliua babu zetu.

Tunaleta hadithi za darasa la pili na la tatu katika dunia ya kibepari, dunia ya utandawazi isiyomsubiri mtu aamke.
Huu ndio ukweli.
 
Mbowe alisema kitu kwanini wote wawe wazanzibar waliohusika kwenye swala la mali za WaTanganyika linafikirisha japo huyu ni mteule ila linafikirisha sana.

Na kingine Samia ni Rais wa wapi si Wa Kote so kwanini asishauriane na Serikali ya Zanzibar kuwapelekea na wao hii DIPIWEDI?

Yani Leo Samia atupende sana Bara Kuliko Kwao?
Inafikirisha sana Mkuu.
Zanzibar tayari ina Wawekezaji wawili Kutoka Oman na Afrika Kusini

Mzanzibari akishaingia Kwenye Serikali ya JMT anakuwa Mtanzania
 
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya...

Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyonayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO.

Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa milele. Namaanisha hadi bahari itapokauka!"

Mimi ninao huo MKATABA lakini sijaona wapi pameandikwa tutapata hizo hela zinazosemwa na wapambe waliohongwa."

Ni wazi wao kuanzia Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wa wizara husika ni WAZANZIBAR na kwa makusudi wameuza mali ya Tanganyika kwa sababu haiwahusu!"

Wengi wenu mnafikiri ni bandari pekee imeuzwa na hao WAZANZIBAR mnajidanganya! Kwa mjibu wa MKATABA hiyo reli ya Magufuli na mabarabara ni ya waarabu hadi maeneo yote maalum ya kibiashara yanakuwa yao."

Bandari kavu kwa mfano ile ya Isaka na zingine zote zinakuwa za waarabu wameuziwa na Samia ambaye ni Mzanzibar."

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"

Kama kweli huo mkataba una manufaa na faida kwanini hao WAZANZIBAR ( Samia na Mbarawa ) wameziacha bandari zao?!"

HATUPO TAYARI RASILIMALI ZETU WATANGANYIKA ZIUZWE HOVYO NA WAZANZIBAR - HATUPO TAYARI NASEMA!"


Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"

Lissu.
Aanze kuzungumzia jinsi Lowassa alivyoyauza na kuyagawa mapato na kodi za watanganyika kwa makanisa mwaka 1992 kupitia memorandum of understanding haramu.
 
Jiwe popote alipo Anamkumbuka
Jamaa ni mwerevu sana. Unampiga risasi zaidi ya 30, hafi! Unambambikia kesi za uchochezi, haogopi! na mwisho wa siku unaamua mwenyewe kumfutia mashtaka yote!

Unapanga mipango ya kumkamata, unaambiwa tayari ameomba hifadhi Ubalozi wa Ujrumani!
 
Back
Top Bottom