mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Dawa ya ulio yaandika ni kuingia mkataba kama huo?Kama uzalendo ni kupitisha madawa ya kulevya bandarini, kupitisha baadhi ya mizigo ya wasiotaka kulipa kodi mlango wa nyuma na baadae mpitishaji kupewa chake mtaani na mwenye mzigo...
Naona unazidi kuilaumu Serkali.