Chuki binafsi Haifai gentleman,Ana Chuki binafsi na TAL πΌ
relax bas gentleman πMie sina chuki na TAL
Million 55 ni bajeti ya sherehe ya Ubatizo wa mtoto mchangandio,
aseme kwamba alienda bagamoyo kula maisha na watu wake wa karibu na walitumia milioni 65,
na sasa chama hakina pesa naomba msaada wenu kwa hali na mali ili chama kipate tena pesa za kutusua viongozi.
Ukweli ni kitu cha maana sana kuliko kuficha mambo π
hivi Huyu kibaka na tapeli wa siasa kuna siku anaweza kujitegemea kweli kiuchumi gentleman, yaani akaishi bila kuombaomba kuchangiwa pesa,Kaweza sana tu
Mbowe alikuwa anapitisha Kikapo cha Sadaka kama Kanisani
Maneno unayotumia dhidi ya TAL siyo ya kisiasa yanaonyesha una maumivu makali katika Mfumo wako wa damu dhidi yakeChuki binafsi Haifai gentleman,
Ukweli ni jambo la maana sana kumuhusu kibaka na tapeli huyo wa kisiasa ndani ya chadema,
hakuna haja ya kupotoshana hali ya kua ninyi ni watu wazima kabisa π
kwahiyo bagamoyo walienda kufanya sherehe ya ubatizo wa viongozi wapya wa chama na viburidisho vyao kwa gharama ya milioni 65 right?Million 55 ni bajeti ya sherehe ya Ubatizo wa mtoto mchanga
Hela ndogo sana hiyo ππ
Wewe ni Mgogo? πΌπ
Mwambie makala aache kupanua sana mdomo. Atajua hajuhi.Chadema inapitia kipindi kigumu zaidi cha ukata wa pesa za kuendeshea taasisi hiyo tangu kuanzishwa kwake, na sasa iko njia panda kushiriki uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025, kwasababu hakuna fedha za kuendeshea chama, lakini mbaya zaidi Chadema haina kabisa fedha kwajili ya kufadhili kampeni za mgombea urais, wagombea ubunge na udiwani wa chama hicho, kama ambavyo waliahidiwa kupigwa tafu ya kiuchumi na uongozi mpya wa chama hicho.
Kuna kila dalili za ufisadi wa kiwango cha juu sana ndani ya chadema, chini ya uongozi mpya ambao umaghubikwa matumizi mabaya zaidi ya anasa ya pesa za chama kama ambayo, matanuzi na retreat ya gharama ya juu sana na ya kifahari zaidi iliyofanyika bagamoyo majuzi.
Ni wazi sasa kumbe no reform no elections ni kisingizio tu na mbinu ya kisayansi ya kukimbia uchaguzi, Lakini pia ni kichaka cha kukwepa na kuficha aibu na fedheha kwa kwa uongozi mpya wa chama hicho kushindwa uongozi mapema na kutokua na uwezo kabisa wa kiuchumi wa kushiriki uchaguzi mkuu wa kihistoria nchini utakao fanyika October mwaka huu 2025.π
Mungu ibariki Tanzania
Kifungu gani? Hivi wewe uwezo wa akili yako upo vipi?Gentleman,
kwa mujibu wa sheria, ukomo wa gharama za uchaguzi kwa vyama vya siasa ni billion 17π
Polepole aliwaumbua nyie ccm na uchawi wenu!! Kumbuka Huyu alikuwa mwenezi wa chama chenu hivyo huo ushirikina wenu aliufahamu sana!ni utapeli wa kudhulumu haki na uhuru wa wana Chadema,
na kufuata utapeli huo ni sawa na kuamini ushirikina tu π
kwamba muungwana sio kibaka wala tapeli wa siasa nchini right?Maneno unayotumia dhidi ya TAL siyo ya kisiasa yanaonyesha una maumivu makali katika Mfumo wako wa damu dhidi yake
Ni kama uliambiwa huyu Mtu alikubakaga mara kadhaa ulipokuwa mtoto πΌ
Ni mfano tu
Unamuita Lissu kibaka?! Wakati baba yako hana uwezo wa kufikia akili za Lissu. Shida yako unaokota habari kisha unazileta hapa bila kuchuja. 30M kwa CDM ni fedha ndogo sana.Gentleman,
wakati kibaka kashindwa kuraise 30m tu ?π
usiniambie kweli hufahamu sheria na kanuni za ukomo wa gharama za Uchaguzi gentleman,Kifungu gani? Hivi wewe uwezo wa akili yako upo vipi?
Gentleman,Unamuita Lissu kibaka?! Wakati baba yako hana uwezo wa kufikia akili za Lissu. Shida yako unaokota habari kisha unazileta hapa bila kuchuja. 30M kwa CDM ni fedha ndogo sana.
SURE, HE IS RIGHT! SASA 100,000,000 KWA MWEZI RUZUKU UTAKUTA NINI, HELA NDOGO HIYO KWA MATUMIZI YA KILA SIKU KWA CHAMA KIKUBWA.
Linachangiwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume itakuwa Chadema? πππkwamba muungwana sio kibaka wala tapeli wa siasa nchini right?
ni nani sasa, au ni kibaraka wa mabenyenye ya magharibi?
maana watu wa singinda hawana tabia za kuombaomba kuchangiwa pesa, ni watu wa bidii ya kazi ni watu wa kujitegemea kiuchumi.
kwahiyo huyo muungwana kiongozi sio omba omba kuchangiwa pesa?
Ni nani basi ili wadau wajue na kujifunza gentleman?
ni mtu wa makelele na mdomo tu, vitendo zero, right?π
Kwahiyo kibaka ni kanisa moja takatifu katoliki la mitume right gentleman? πLinachangiwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume itakuwa Chadema? πππ
Mimi nilikuwa simtaki kwa kweli ila imebidi nikubaliane na hali tu! Lissu siyo kiongozi huyo ni mwanaharakati na tabia za wanaharakati siki zote huwa ni kuropoka bila kupima madhara ya maneno yao. Kama CHADEMA wataleta hii takataka kwenye urais basi bora Suluhu iendelee tu!JPM na Lissu wanatabia za kufanana.
Sema mmoja aliaamini katika matendo na matokeo yanayoonekana.
Mwinginwe anaamini katika maneno.
Kutwa nzima tuongee na kupiga domo.