Akaweke ushahidi wapi, kwa hili jeshi la polisi linalofanya utekaji na kubadili ukweli? Lisu amefanya vizuri sana kuwaambia ukweli wao, maana vyombo vya serekali ndio vinaendesha mauaji.
 
Mbowe huwa anasingiziwa mambo mengi sana!
Jamaa katulia kimyaaa!! Lissu anataka kukimbilia tena Ulaya nn 😂

Maana akitishiwa maisha tu huyooo Ulaya sijui wakimpa chama atamwachia nani apambane 😂
 
Mafwele kisha rudi kutoka India?
 
Samia kapewa maelekezo na waarabu ya kulinda ''uwekezaji'' wao. Wametoa fedha nyingi za kuhonga vyama vya upinzani ili visimpe upinzani na kuanika uovu wake na wakati wa uchaguzi visitoe upinzani kamili. Lissu pekee ndiye aliyekataa hii hongo ndiyo maana wanapanga njama za kumuumiza. Unakumbuka yule simba wa kwenye maonyesho ambaye Samia alisema ''hatulii kama Lissu'' hivyo aitwe Lissu? Alikuwa anamaanisha hatulii hata akipewa fedha!
 
Sasa wew kushindwa kwako kum control mke wako hadi mbowe akawa anaruka nae unadhani lisu ni poyoyo kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…