Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Kwani hao watoto wamejifunza huo wimbo shuleni?

Huo wimbo wamejifunzia wakiwa kwao kwa wazazi wao na huko mitaani, ndio maana wanajua kuuimba wote na kuucheza kama Zuchu. Wawashushe vyeo na wazazi wa hao watoto

Walimu wakuu wameonewa

Nje ya mada: Ila wakuu Zuchu anajua aisee hii ngoma nimekaa nimeisikiliza vizuri ina vibe
 
Nina wasiwasi na maamuzi ya prof.. kashinikizwaa bila ku think twice..ahah hapana prof tunamjua ye ni great thinker..natumaini angepata muda wa kutafakari angepuuza..cz alichokifanya ni kuziba tundu la panya kwa mkate.. kama kweli alinaanisha basi karuka process za kutatua tatizo.. Ambazo wao wametufundisha kwenye research. Asante kwa taarifa pia nawakumbu Elimu ya msingi mwsho darasa la sita kuanzia 2027.
 
umeambiwa aina ya wimbo, utumie akili na wewe
 
Siongei mengi... Ni kweli!?? Wamefukuzwa kazi!?? Anyone...!!

View attachment 2801918
Bro uko mkoa gani kwanza yaani unatuletea ushamba wa hali ya angalia nchi za wenzetu mifumo yao ya elimu time kubwa watoto wanacheza lkn wako very bright sasa na sisi tutumieni mifumo hiyo hiyo sio mikwaju tu kila wakati lazima serikali ibadilishe mifumo tuwalee watoto wetu kutokana na mazingara ya sasa .
 
Huwezi kuepukaa, hata akikosa kwa Gari ya shule, je akiwa mtaan na watoto wenzie.?
 
Halafu kwenye kampeni za CCM ni nyimbo hizo hizo zitatumika kukusanya watu, yaani vitu vingine vinachekesha kweli walimu wanateseka sana nchi hii mara wachapwe, wakimbizwe kama watoto, wafanywe masanamu km hivi nao wameinama tu kama makondoo
Pia hao hao Walimu watatumika kuishindisha sisiemu[emoji1][emoji1]
 
Visharobaro vyabaadae vinaburudika na vi pisi Kali vyao...[emoji23]
Maisha kama mahanjumati fulani hivi yana kabla ya kupikwa na baada ya kupikwa!
Mkuu ni Muziki siyo mziki
 
Halafu kwenye kampeni za CCM ni nyimbo hizo hizo zitatumika kukusanya watu, yaani vitu vingine vinachekesha kweli walimu wanateseka sana nchi hii mara wachapwe, wakimbizwe kama watoto, wafanywe masanamu km hivi nao wameinama tu kama makondoo
Sas watafanyajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Visharobaro vyabaadae vinaburudika na vi pisi Kali vyao...[emoji23]
Maisha kama mahanjumati fulani hivi yana kabla ya kupikwa na baada ya kupikwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawajafukwa Kazi Isipokuwa Walimu Wakuu Maagizo Toka Kwa Waziri Husika
Kasema Watolewe Vyeo Vya Ualimu Mkuu, Kwa Hilo Jambo
Profesa Mkenda naye ni Kilaza tu. Sasa hao wanafunzi kucheza huo wimbo wa Zuchu - Honey wana kosa gani!!

Na kama huo wimbo hauna maadili, ni kwa nini haujafungiwa na Basata? Au nyimbo zinazofungiwa ni zile za akina Ney wa Mitego pekee, kwa sababu zinaikosoa serikali yake ya ccm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…