Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Nafikri waziri atakuwa hajachukizwa na kucheza mziki, kilichomwuzi utakuwa ujumbe ulioko kwenye mziki! "Mpenzi wangu akina namkatia kiuno". Hivi hata wewe mkuu ukiwa umenuna my wife wako akakuingiza chemba akakutia kiuno utaendelea kununa?
nitafurahi mkuu, tena kuna siku tulikuwa tumegombana tuna week hatuongei, basi akavaa kimini ndani pichu hamna, nipo zangu naangalia tv akaja kaanza kuvuta meza, mara akaamia kwenye tv huku anazungusha kiuno taratibu, huku mambo wazi kabisa, mkuu uzalendo ulinishinda niliena nikamshikisha kochi pale nikala mzigo na ugomvi ukaishia hapo.

nirudi kwenye mada
ila mkuu tuwaache watoto wacheze na kufurahi, sidhani kama kucheza kwao kwa dk 30 huo wimbo ndo kutasababisha wasiwe na maadili, je walimu ndo waliwafundisha kuimba huo wimbo mwanzo mwisho?
 
Yaani unategemea Dr. Gwajima aje aunge mkono ujinga huo? Tatizo nyie viumbe hamtoi judgement kulingana na contents za wimbo mmekazania tu kwamba watoto walikuwa wanaburudika. Sasa burudani bila kuzingatia maudhui ya wimbo? Waziri yuko sahihi!
Nimekwambia aje aunge mkono ama nimeuliza kama ni sawa

Mbona unajibu usipoulizwa?
Wewe ni Mama Gwajima?

Hizo nyimbo zilipoimbwa kule ziarani Geita na Zuchu
Zilikuwa na maudhui gani pale?
 
Yaani unategemea Dr. Gwajima aje aunge mkono ujinga huo? Tatizo nyie viumbe hamtoi judgement kulingana na contents za wimbo mmekazania tu kwamba watoto walikuwa wanaburudika. Sasa burudani bila kuzingatia maudhui ya wimbo? Waziri yuko sahihi!
Asante Manjagata , nimeandika sana ukisoma post zangu kuwa content /maudhui na audience unayopeleka ujinga huo! Aliyeuimba ni malaya, sasa unawapelekea watoto rubbish kama hivyo

View: https://youtu.be/kFD_yJvqeGE
 
Leo nimeona video ya wimbo wa Whozu ft Billnass na Mbosso unaitwa Umeyatimba,
Kipande anachoimba Mbosso kuna sehemu anasema "Nyoooo na Nyokoooo", pia ile video inaonesha anambaka Mwanamke chumbani huku Wanaume wapo sitting room wanashangilia, anampaka hadi mafuta ya nazi....

Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Inasikitisha sana aisee
 
Uliimba nyimbo hizo hizo zipi?

Wakati nasoma nyimbo za kupinga ukimwi ulikuepo wa Ferouz Starehe Gharama na Usione Soo wa kundi la wasanii wa Tz lakini tulikua tukienda kwenye matamasha ya ukimwi nyimbo zilipigwa za TOT za Mgeni Kaingia.

Ninaunga mkono adhabu iliyotolewa
Nilisoma before ukimwi

Enzi za amina kadala na switi switi bila kusahau nyimbo za kumtukana iddi amin dada
 
Hutu tuwaziri tulitogoma kuzeeka tuna tabu sana kutwa kupaka hair dye na kununua malaya Rainbow.Hilo linyimbo linapigwa kila sehemu na hao watoto wanaona ,wanasikia kwanini wasiufungie huo wimbo.Hapo kanajiona kazalendo kuonea vidagaa.
 
Nimekwambia aje aunge mkono ama nimeuliza kama ni sawa

Mbona unajibu usipoulizwa?
Wewe ni Mama Gwajima?

Hizo nyimbo zilipoimbwa kule ziarani Geita na Zuchu
Zilikuwa na maudhui gani pale?
Elewa hapo ni shuleni na kule Geita ni mtaani! Shule zina mwongozo wake! Siyo kila kitu kinafaa kwenda shuleni! Kumbuka kuna shule pia iliwahi kumkaribisha Amber Lutty wakati akiwa na sakata lake unakumbuka nini kilimpata yule mwalimu?
 
makosa ya BASATA kutouzuia siyo warrant ya kuimbwa mashuleni. Unatumia common sense kama mwalimu Mkuu na mzazi. Issue ni audience ipi wimbo huo unaimbwa. Yes shulni si swa maana kule kuna mitaala na wale ni watoto wadogo
Wa kumuwajibisha ni aliyeruhusu huo wimbo kuendelea kuleta hewani.

Kuna nyimbo nyingi za hovyo hupigwa mashuleni,ukiachilia mbali huo wa Zuchu.

Waweke list ya nyimbo zinazotakiwa kupigwa mashuleni
Zipo nyimbo nyingi za watoto zinazohamasisha masomo ndani yake.

Waiweke wazi kwa walimu wote nchini na wawasisitize walimu kufuata hiyo miongozo.

Kuwatoa mbuzi wa kafara walimu kwa sababu ya wimbo wa Zuchu..huo ni wimbo mmoja tu !
Vipi,wataendelea na hilo zoezi maana ukiachikilia mbali wimbo wa Zuchu
Kuna nyimbo nyingine nyingi tu ambazo zinaimba matusi..vipi wataendelea kuvizia kila wimbo na kuendelea kuwavua walimu vyeo?
 
View attachment 2801642

Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu ‘Honey’ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.

Amesema hayo nje ya Bunge jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu video hiyo ambapo pia amepiga marufuku wanafunzi kucheza nyimbo zisizo na maadili na kuwataka walimu kuwa wasimamizi wa maadili pindi wanafunzi wawapo shuleni.

“Tumeshatambua shule yenyewe iko Tunduma, kulikuwa na kikundi kimeenda kutoa msaada shuleni pale, baada ya kutoa msaada ule kikaweka na muziki halafu wanafunzi wakacheza, na maudhui ya muziki wenyewe kila mtu ameusikia sina haja ya kuurudia,” amesema Profesa Mkenda.

Ameongeza, “tumeongea na wadhibiti ubora wapeleke taarifa kule, mkurugenzi awaondoe walimu wakuu wa shule mbili; moja shule ya Tunduma na nyingine ambazo ni kama shule pacha, waondolewe madaraka ya ukuu wa shule watafutwe wakuu wengine wa shule. Tunafanya hivi ili kutuma ujumbe, walimu wakuu tusaidieni msiruhusu vitu kama hivi viingie mashuleni.”

Kwa upande wake Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.


Kakurupuka, kabisa.
 
Elewa hapo ni shuleni na kule Geita ni mtaani! Shule zina mwongozo wake! Siyo kila kitu kinafaa kwenda shuleni! Kumbuka kuna shule pia iliwahi kumkaribisha Amber Lutty wakati akiwa na sakata lake unakumbuka nini kilimpata yule mwalimu?
Kwahiyo kule Ziarani walikoenda Makamu naibu waziri na viongozi wengine
Zuchu akaenda kuimba Honey,Mafuta ya taa , sugar sukari na nyimbo za kipuuzi kama hizo ,ilikuwa ni mahala pake?

Waanze kwanza kujishughulikia wao ndipo waje sasa upande wa walimu.
 
Yeye alivyomaliza darasa la 4 na 7
Hakucheza mziki?

Kulivtokuwa na tafrija mbalimbali shuleni,
Waliimba akapera sijui Akapela ?

Wasitutoe kwenye reli
Nchi Ina matatizo mengi sana upande wa elimu
Ya muhimu yamewashinda,,
Sasa wamejitafutulia ya kwao

Hatukuwatuma kufanya kazi ya kujadili nyimbo za kina Zuchu.
Eti watu wanasema kukata mibuno mibuno sijui ndo kosa, wakati hati nyimbo za asali za makabila mengi tanzania ni kukata mibuno mwanzo mwisho, hawa watu wakapimwe mkojo tu.
 
Wa kumuwajibisha ni aliyeruhusu huo wimbo kuendelea kuleta hewani.

Kuna nyimbo nyingi za hovyo hupigwa mashuleni,ukiachilia mbali huo wa Zuchu.

Waweke list ya nyimbo zinazotakiwa kupigwa mashuleni
Zipo nyimbo nyingi za watoto zinazohamasisha masomo ndani yake.

Waiweke wazi kwa walimu wote nchini na wawasisitize walimu kufuata hiyo miongozo.

Kuwatoa mbuzi wa kafara walimu kwa sababu ya wimbo wa Zuchu..huo ni wimbo mmoja tu !
Vipi,wataendelea na hilo zoezi maana ukiachikilia mbali wimbo wa Zuchu
Kuna nyimbo nyingine nyingi tu ambazo zinaimba matusi..vipi wataendelea kuvizia kila wimbo na kuendelea kuwavua walimu vyeo?
Miongozo ipo, sema walimu wa dot com wanajizima data tu!
 
Back
Top Bottom