Zuhura Huyo Wa Ccm
MC alijiongeza akanza kuwaimbia shele yetu nzuri sana imepambwa maua...Ni rahisi sana kumlaumu mwingine kabla ya kuangalia namna gani kunaweza fanyika marekebisho. Na kabla ya kutoa hukumu, onyo linatakiwa kutangulia.
View attachment 2801690
Na hawa jee..!!!?
Wazazi wao wavuliwe cheo cha kuwa wazazi?
Maharusi wawajibishwe?
MC avuliwe u MC
DJ apokonywe u DJ...?
Au dada wa kazi arudishwe kwao...!!!???
Hakusoma Kama dayamond.hatutaki hayo kwenye jamii yetu๐Zuhura Huyo Wa Ccm
View attachment 2801642
Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu โHoneyโ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.
Amesema hayo nje ya Bunge jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu video hiyo ambapo pia amepiga marufuku wanafunzi kucheza nyimbo zisizo na maadili na kuwataka walimu kuwa wasimamizi wa maadili pindi wanafunzi wawapo shuleni.
โTumeshatambua shule yenyewe iko Tunduma, kulikuwa na kikundi kimeenda kutoa msaada shuleni pale, baada ya kutoa msaada ule kikaweka na muziki halafu wanafunzi wakacheza, na maudhui ya muziki wenyewe kila mtu ameusikia sina haja ya kuurudia,โ amesema Profesa Mkenda.
Ameongeza, โtumeongea na wadhibiti ubora wapeleke taarifa kule, mkurugenzi awaondoe walimu wakuu wa shule mbili; moja shule ya Tunduma na nyingine ambazo ni kama shule pacha, waondolewe madaraka ya ukuu wa shule watafutwe wakuu wengine wa shule. Tunafanya hivi ili kutuma ujumbe, walimu wakuu tusaidieni msiruhusu vitu kama hivi viingie mashuleni.โ
Kwa upande wake Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
Hizi shule si zipo chini ya TamisemiView attachment 2801642
Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu โHoneyโ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo.
Amesema hayo nje ya Bunge jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu video hiyo ambapo pia amepiga marufuku wanafunzi kucheza nyimbo zisizo na maadili na kuwataka walimu kuwa wasimamizi wa maadili pindi wanafunzi wawapo shuleni.
โTumeshatambua shule yenyewe iko Tunduma, kulikuwa na kikundi kimeenda kutoa msaada shuleni pale, baada ya kutoa msaada ule kikaweka na muziki halafu wanafunzi wakacheza, na maudhui ya muziki wenyewe kila mtu ameusikia sina haja ya kuurudia,โ amesema Profesa Mkenda.
Ameongeza, โtumeongea na wadhibiti ubora wapeleke taarifa kule, mkurugenzi awaondoe walimu wakuu wa shule mbili; moja shule ya Tunduma na nyingine ambazo ni kama shule pacha, waondolewe madaraka ya ukuu wa shule watafutwe wakuu wengine wa shule. Tunafanya hivi ili kutuma ujumbe, walimu wakuu tusaidieni msiruhusu vitu kama hivi viingie mashuleni.โ
Kwa upande wake Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amempongeza Profesa Mkenda kwa kukemea kitendo hicho na kutoa wito kwa watoa huduma wote na wanaohudumia watoto kusimamia malezi na makuzi ya watoto.
MC alijiongeza akanza kuwaimbia shele yetu nzuri sana imepambwa maua...
Bora hapa umenenaaa,Chadema walikuwepo Tunduma
Mbona kwenye mikutano ya CCM Zuchu anaimba Nyimbo hizo hizo na Wanafunzi wanacheza mbele ya Viongozi wa CCM na Serikali?
Msiwaonee Walimu wakuu
Sahihi kabisa๐๐Mheshimiwa Kangi Lugola ๐๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] prof kapuyanga vibayaa mnoooWaziri kwa hili kakurupuka tu. Hajielewi. Ukiona mtu ni profesa ishi naye kwa makini sana, wengi hawako intouch na reality.
na hii kuwaweka watoto kwenye sherehe sijui za harusi au kitugani zilizo jaa watumia vileo naona haiko sawa kabisaAlishaona video ita trend na inaweza ikamfanya akakosa ugali siku zijazo.
Akarekebisha fastaa, maana wazazi na wenye sherehe ndo watakuwa walipanga watoto waingie ukumbini na huo wimbo. Ila sasa watoro wenyewe....
Zuchu anasubiri....๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila walimu hawana kosa jamani.Yuko sahihi
Hatuwezi Lea wakimbia shule
Kina dayamond
Hatulei kizazi Cha wahuni
Wakimbia shule[emoji108]hapana
Mkamate Sana elimu usimwache aende zake,[emoji120][emoji120][emoji120]
Hamna[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] prof kapuyanga vibayaa mnooo