Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Ni rahisi sana kumlaumu mwingine kabla ya kuangalia namna gani kunaweza fanyika marekebisho. Na kabla ya kutoa hukumu, onyo linatakiwa kutangulia.

Your browser is not able to display this video.


Na hawa jee..!!!?

Wazazi wao wavuliwe cheo cha kuwa wazazi?
Maharusi wawajibishwe?
MC avuliwe u MC
DJ apokonywe u DJ...?
Au dada wa kazi arudishwe kwao...!!!???
 
Yuko sahihi
Hatuwezi Lea wakimbia shule
Kina dayamond
Hatulei kizazi Cha wahuni
Wakimbia shule๐Ÿ‘Œhapana
Mkamate Sana elimu usimwache aende zake,๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
MC alijiongeza akanza kuwaimbia shele yetu nzuri sana imepambwa maua...
 

Ila asilimia 99 ya hao watoto hapo inaonesha hajawahi kuiona video ya huo wimbo vile unachezwa.
Maana watoto ninwazuri sana kwenye kunakili jambo. Ungeshaona wanainama na kupeleka viuno mbele.

Ila wote wanarukaruka na kusukumana tuu kama ule wimbo wa maua mazuri yapendeza, ukiyatizamaaa.......


Natumai walimu watarudishiwa nyadhifa zao. Walau wapewe onyo kwanza au karipio.
 
Hizi shule si zipo chini ya Tamisemi
 
MC alijiongeza akanza kuwaimbia shele yetu nzuri sana imepambwa maua...

Alishaona video ita trend na inaweza ikamfanya akakosa ugali siku zijazo.

Akarekebisha fastaa, maana wazazi na wenye sherehe ndo watakuwa walipanga watoto waingie ukumbini na huo wimbo. Ila sasa watoro wenyewe....

Zuchu anasubiri....๐Ÿ™„
 
Alishaona video ita trend na inaweza ikamfanya akakosa ugali siku zijazo.

Akarekebisha fastaa, maana wazazi na wenye sherehe ndo watakuwa walipanga watoto waingie ukumbini na huo wimbo. Ila sasa watoro wenyewe....

Zuchu anasubiri....๐Ÿ™„
na hii kuwaweka watoto kwenye sherehe sijui za harusi au kitugani zilizo jaa watumia vileo naona haiko sawa kabisa

mtoto kasikia habari ya shule kajaza mashavu kabisa
 
Yuko sahihi
Hatuwezi Lea wakimbia shule
Kina dayamond
Hatulei kizazi Cha wahuni
Wakimbia shule[emoji108]hapana
Mkamate Sana elimu usimwache aende zake,[emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila walimu hawana kosa jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ