Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Kabisa kwenye hili wameonewa kiukweli
 
Akili zetu tz tunazijua wenyewe,sasa kama nyimbo hazina maadili kwa nini wali zipitisha,huu wimbo na ule wa nay,upi hauna maadili.
 
Siongei mengi... Ni kweli!?? Wamefukuzwa kazi!?? Anyone.,..!!
View attachment 2801918
Aliyewasimamisha kazi atakuwa ni mpumbavu.

Huyu Zuchu si juzi kaalikwa Geita kwenye ziara za CCM akatumbuize!
Si ndio nyimbo hizo alikuwa anaimba?

Shule miziki kama hii kwenye sherehe ni kawaida..na ilianza Toka enzi za Mwalimu,la Saba wanapomaliza mitihani huwa kunaambatana na sherehe na miziki..
Labda kama huyo waziri na CCM wao walisoma Burundi.

Waache upumbavu.
Watoto mtaani wanacheza hii nyimbo sana maana imekaa kitoto .
Kama wapo serious basi wangeifungia ama waanze kuwaadhibu wote wanaoicheza..ambapo wataadhibu watoto wote sasa..hakuna mtoto hajui hiyo..tunajionea mtaani huku.
 
Waziri husika huyo ni nani!?

Hao Walimu wamefanya kosa gani!??

Ahhh!!!
Hivi Watanzania akili tumemkopesha nani siku hizi? Huo wimbo una maadili gani ya kumfundisha mtoto? Umeyasilikiliza vizuri hayo maneno yanayotamkwa kwenye huo wimbo? Tunatetea vitu vya kijingaa
 
this is purely insane, yaani imefika hatua waziri anawanyima watoto haki yao ya msingi ya kucheza na kufurahi?
Huyo Waziri angejua jinsi gani Walimu huku vijijini wanapambana na dropout ya wanafunzi..utoro...

Ilibidi hawa walimu awapongeze sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…