Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Nimeshindwa kuelewa mamlaka husika hawajaona haya lakini na hawa wasanii kwanini wanafanya hivi, lengo lao hasa ni nini kutoa nyimbo za namna hii huku wakijua wahanga wakubwa ni watoto na vijana wadogo!??
Wasanii wengi ni mawakala wa shetani...
Huitaji mtu mwenye akili kama wewe kuweza kujua kampeni zao, sababu katika nyimbo zao huwa wanafanya vitu vinavyoonekana kama vya kawaida tu kumbe nia yake ni kuelekeza akili za watu wasio na ufahamu kuona mambo wanayofanya ni ya kawaida tu