Tuzo za Muziki Tanzania 2021, Bado tuna safari ndefu sana

Tuzo za Muziki Tanzania 2021, Bado tuna safari ndefu sana

Mshindi wa BSS anaonesha kwamba ule ushindi ulikua halali yake, anaimba vizurii "Hellooo......" nice kijana😘
 
Tuzo zimedoda sana.
Nilitarajia kuona jukwaa liko hot hot
 
Tanzania sometimes tunashindwa kuwa serious hata kwa vitu vidogo kama hivi.
Wazee wataongeza vijana kwenye kamati kwa event ijayo, sio mbaya sana lakini wamejitahidi
 
Toka lini ukapiga kelele mzee/mshua/dingi akiwa sebleni?




Ova[emoji41]
Aaah inategemea ni event gani kama ni sherehe kelele na vifijo vinapigwa kama kawa, afu unamaanisha huyo baba sebleni ni yupi?šŸ˜‚
 
Kiukweli nilikuwa hata sijui kama ni leo ila
Katika pitapita za kubadilisha TV channels ndio nakutana nazo

Ukiachilia promo ambayo imeonekana kuwa na udhaifu, bado kuna mambo mengi ya kuboresha

1. Utoaji wa Tuzo
Nimeona kuna tuzo 3 za heshima ikiwemo ya Ruge Mutahaba na Diamond platnums bado na Mama Samia Suluhu. Si kama hawastahili ila sioni umuhimu wa watu watatu kugawana spotlight

2. Too much politics
Sijaelewa ni Mimi Tu au vipi, yaani Tuzo zimekuwa kama platform ya kupromote siasa kuliko muziki wenyewe, nimeona hadi mabango ya kudai haki na background sound za kusifu uongozi.. Sio mbaya lakini haikuwa necessary

3. Management
Hapa waandaaji waangalie hata kili music awards zilivyokuwa zinaendeshwa maana nimeshangaa watu almost wanne wamepewa Tuzo ila kuna watu wamekaa stejini muda wote kama wanakamati, sijui ni public figures ama ushers

3. TBC Coverage
Mixing ya picha na presentation kiasi haijanivutia, hopeful next time watafanya vizuri zaidi


Nimeangalia high table au sijui ni VIP kumejaa political figures, sio mbaya ila wangemix na musical figures maana ni usiku wao

Nimependa stage settings wamejitajidi lakini pia wasanii naona wamejitahidi

Japo ndio imeanza, ngoja niangalie itaendeleaje
Hapo kwenye high table kujaa wanasiasa, hiyo sio siku yao kabisa, ni siku ya wasanii, ni dunia yao.

Hata mbele tuzo za wasanii wanaotamba hapo mbele ni wasanii wenyewe.
 
Kuingiza sio shida watafanyia kazi malalamiko yake kwanza Cha kwanza diamond alidai kutopewa mrabaha na akaongeza zaidi system nzima ya ukusanyanyi miraba ujakaa vizuri na alitajihidi kuulizia inakuaje hawakumpa majibu yakuridhisha

2. Jambo la pili alihoji utaratibu mzima wa kupata nominees alishangazwa na utaratibu wa msanii kuomba kwa barua kuingizwa kwenye categories anayotaka
Nadhani kwa speech zao za leo wanaweza kurekebisha japo Diamond nae itabidi apunguze matarajio
 
Nimeshangazwa pia ila nachokiona ni maandalizi hafifu, kwenye ulimwengu huu wa social media sio rahisi mtu kukosa picha
Hapa wamezingua sana, ila nimeona categories zingine wameweka means walikosa za hao.
 
Hapo kwenye high table kujaa wanasiasa, hiyo sio siku yao kabisa, ni siku ya wasanii, ni dunia yao.

Hata mbele tuzo za wasanii wanaotamba hapo mbele ni wasanii wenyewe.
Mkuu hujui kuna mkeka wa april unakuja ndo maana wanataka kuonekana kwenye kioo



Ova[emoji41]
 
Hivi inashindikana nini kwenye maandalizi wakaajili wawe wa aajili watu wawili watatu toka kwenye watu walio katika kamati za tuzo kubwa kama BET ama MTV waje washiriki katika kamati zao za maandalizi kupata uzoefu mpya
 
Hapo kwenye high table kujaa wanasiasa, hiyo sio siku yao kabisa, ni siku ya wasanii, ni dunia yao.

Hata mbele tuzo za wasanii wanaotamba hapo mbele ni wasanii wenyewe.

Wasanii wanaopokea tuzo, wengine wanatoka nyuma kabisaaa na sijui kama walifikiria list ya waalikwa na mpangilio wake

Waliokaa mbele kiukweli hawana influence sana kwa industry , wangewaachia Tu wasanii usiku wao
 
Back
Top Bottom