Ujerumani yasema kuilinda Israel si suala linalohitaji mjadala. Wafalme wa mashariki ya kati bado wamelala

Umeandika porojo tupu.

Hamas ni magaidi wanaua hovyo raia wa mataifa tofauti hata wasiohusika na vita yao na Israel, hapa hakuna mjadala unless uwe na akili mbovu kutambua Hamas ni kundi la machizi wenye silaha.


Yaani wewe Myahudi wa Uwanja wa Fisi , mlokole masalia unaijuwa zaidi Israel kuliko wayahudi wenyewe ??


View: https://youtu.be/yISGty8aLRE
 


Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake,Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,Bw.Zelothe Stephen aliwataja watuhumiwa wawili kuwa ni Mchungaji wa kanisa la Pentekoste Idiwili,Cosmas Mwasenga (39) na Luseshelo Mwashilindi (38) ambao walikutwa na viungo vinavyodhaniwa vya maeneo ya mikono wakipita kutafuta wateja huku wakiviita kwa jina la ¡viungo vya Kunguru mweupe¢.



Kamanda Stephen alisema kuwapolisi walipokea taarifa kutoka kwa raia wema kuhusu kuwepo watu waliokuwa wanatafuta wateja wa viungo hivyo vya albino katika maeneo mbalimbali yakiwemo ya Makunguru na Mwanjelwa wakitamka jina la kunguru mweupe.



Alisema kuwa polisi baada ya kupata taarifa hiyo waliweka mtego kwa kujifanya wanunuzi ambapo baada ya kupata bei hiyo walikwenda kuchukua viungo hivyo kwa mtuhumiwa Mwashilindi na kuvikuta huku vikiwa vimefungwa kwa mafungu mawili yaliyokuwa na vipande vinne vya viungo hivyo vikiwa vimewekwa katika karatasi.
 
Mpalestina siyo ndg wa mwarabu, bali ni. Binadamu ambaye anatakiwa kuishi , waarabu wanajua hilo
 
Kwenye hii Vita namfananisha Netanyahu na Hulagu the Mongol ilibidi Majeshi ya Waisilamu yaingie Mitini😆


Hulagu,kipigo alichokitoa kwa Majeshi ya Kiislamu ya Iran na Iraq kilikuwa ni kizito sana mpaka leo huwa wanahadisiana.
 
Aisee kama hujui, wananchi wa iran wana umoja sana likija suala la vita
Hii ilikuwa zamani labda kwa sasa baada ya vurugu la uvaaji wa hijab na mauwaji la pili vijana wa sasa sio wale wa zamani tena maana u western umepenyezwa sana Iran
Vijana wa sasa hawana uzalendo kaka yaan kufa kizembe hawataki si utaona wataikimbia ile nchi wawaache wanawake na watoto🤣🤣Huku Israeli akitwanga makomboro bila huruma.
 
Sikatai kwenye vita kuna watu wanafaidika mfano wauza silaha hao wako tayari waone mnatoana roho miaka nenda rudi.Tatizo jingine Wa Israel ndo matajiri kwenye hizo nchi yaan ndo wanashikilia uchum sasa hiwezi kubali boss wako anatandikwa ww ukakaa pembeni au ukaleta usnich.Iran kayakanyaga tu inshot.
 
Nimekuonesha ujinga wa ndugu zako katika imani wa Hamas umeshindwa kuujibu unahamia Israel, ajabu ndio unajiona msomi, labda msomi wa Quran!.
Mimi nimekuonyesha ni nani terrorist kwa mujibu wa hao Wayahudi wenyewe , sasa kama unanishambulia mimi sijui kitu labda wewe ni myahudi zaidi ya hao wayahudi wenyewe
 
Walishindwa sirya kubadilisha regime wataiweza irani?
 

wayahudi wako matajiri lakini si wote
 
ujeruman aliukua na akili aliku hitller tu. maana asinge wapunguza hawa viumbe wayahudi kwa idadi ile saahizi kwenye dunia hii sijui ingekuwaje.
kwan sasa hv dunia ipoje ? chini ya Boko Haram , adf , Al shabab , al answar , janjaweed , seleka , Houth , hizbollah , alqaida , taliban , hamas etc
 
Acha kulazimisha undugu bro. Life ni survive of the fittest. Uko peke yako so kila mtu au taifa wanaangalia ninani wanaweza kushea nae life ili watimize ndogo zao. Hapo Sudan mbona hupasemei au Congo. Kwanini unalazimisha taifa kufikiri sawa sawa na wewe.
 
Jitahidi uende shule usikubali ukaja ukaacha kizazi cha aina yako
MAGAIDI WAJITAHIDI KUPATA ELIMU WASIACHE KIZAZI KAMA CHAO. HAO ALISEMA MH PUTIN NI KUWAWAISHA TU KUPATA HAO 72 VIRGINS. HAMNA NAMNA
 
MAGAIDI WAJITAHIDI KUPATA ELIMU WASIACHE KIZAZI KAMA CHAO. HAO ALISEMA MH PUTIN NI KUWAWAISHA TU KUPATA HAO 72 VIRGINS. HAMNA NAMNA
Wapigania haki hawataisha siku zote wapalestina wataendelea kupigania ardhi yao milele, na wameelimika sana ndio maana wanatanbua haki zao siyo nyumbu kama wewe uliyodanganywa usipoipenda israel utalaaniwa , ni mjinga tu atakayekubali upuuzi kama huu na lazima atakuwa mtu mweusi kwa sababu hata hao wazungu hawaukubali ujinga huu
Na tunavyoongea mtoto wa trump kaolewa na muarabu kutoka lebanon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…