sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Mkuu acha kututisha, ssset yenu ilikuwa moja kwani! Mmepoteza mihela kibao!!@Mbowe asipoachiwa basi mjiandae majibu haya mawili ya mafungo yenu:
Moja, mvua haitanyesha kabisa na ukame mkubwa utaiandama nchi na wengi wataathirika sana
Pili, mvua zitanyesha kubwa sana hadi kuharibu mazao, mali na kuchukua hata uhai.
The choice is yours