NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Ndio hivyo wabongo tulivyo,ni hulka ambayo ipo,sio kwenye mpira tu,hata upande wa siasa.Binadamu wana mambo mengi na wanatakiwa kuwa na kiasi kwa kila jambo hasa mwanaume. Unatakiwa ukikaa na watu uweze kuwa na mazungumzo ya aina mbalimbali. Sasa wewe mtaa mzima au ofisini wanajua wewe ni mtu wa mpira, mzungumza mpira muda wote.
Wakikuona tu wanaanza kukuchonoa na habari za mpira. Na wewe unaanza kutiririka ukifikiri sifa. Kumbe wanakuona hamnazo na hawana jambo lingine la kuzungumza na wewe.
Na ni kwanini wenye viti wengi wa matawi na wafadhiri wa hizi timu wanakuaga waislamu kuna siri gani?..........Kwa uchunguzi mdogo niliofanya nimegundua kuwa watu wanazi sana wa hizi timu huwa hawako timamu kichwani.
Ukiona mtu muda wote au zaidi ya asilimia 70 ya maongezi yake ni Simba na Yanga. Muda mwingi anashinda amevaa jezi ya Yanga au Simba. Mitandaoni anafuatilia sana habari za Simba na Yanga. Mara Mukoko hivi, mara Manara vile, kuwa naye makini sana. Usimuamini kwa jambo la msingi. Huwa hawana mawazo ya maana. Hawana maongezi ya maana. Na mbaya zaidi wengi huonyesha dalili ya matatizo ya akili.
Jiepushe na watu wa namna hiyo.
Someone to make suicide attempt due to club football results, it's crazy mind.Correct. It’s really disconcerting to realize that a bunch of these diehard fans are often suicidal or inclined to go on murderous rampages to express their displeasure with match outcomes.
No wonder the notion of insanity is easily associated with such personalities.
Yaani hakuna nisichopenda Kama mpira hata wacheze Simba na yanga me sina habari.
Binadamu wana mambo mengi na wanatakiwa kuwa na kiasi kwa kila jambo hasa mwanaume. Unatakiwa ukikaa na watu uweze kuwa na mazungumzo ya aina mbalimbali. Sasa wewe mtaa mzima au ofisini wanajua wewe ni mtu wa mpira, mzungumza mpira muda wote.
Wakikuona tu wanaanza kukuchonoa na habari za mpira. Na wewe unaanza kutiririka ukifikiri sifa. Kumbe wanakuona hamnazo na hawana jambo lingine la kuzungumza na wewe.
Umewalenga mashabiki wa simba mkuu. Kweli hiyo timu ina wengi hamnazo. SikutaniiKwa uchunguzi mdogo niliofanya nimegundua kuwa watu wanazi sana wa hizi timu huwa hawako timamu kichwani.
Ukiona mtu muda wote au zaidi ya asilimia 70 ya maongezi yake ni Simba na Yanga. Muda mwingi anashinda amevaa jezi ya Yanga au Simba. Mitandaoni anafuatilia sana habari za Simba na Yanga. Mara Mukoko hivi, mara Manara vile, kuwa naye makini sana. Usimuamini kwa jambo la msingi. Huwa hawana mawazo ya maana. Hawana maongezi ya maana. Na mbaya zaidi wengi huonyesha dalili ya matatizo ya akili.
Jiepushe na watu wa namna hiyo.
Mpira uwe wa nje au ndani sitaki hata kusikia !Hupendi Simba na Yanga au hupendi mpira as a whole?