Ukiona mtu anashabikia sana Simba na Yanga kuwa naye makini, wengi hawana akili timamu

Ukiona mtu anashabikia sana Simba na Yanga kuwa naye makini, wengi hawana akili timamu

Binadamu wana mambo mengi na wanatakiwa kuwa na kiasi kwa kila jambo hasa mwanaume. Unatakiwa ukikaa na watu uweze kuwa na mazungumzo ya aina mbalimbali. Sasa wewe mtaa mzima au ofisini wanajua wewe ni mtu wa mpira, mzungumza mpira muda wote.

Wakikuona tu wanaanza kukuchonoa na habari za mpira. Na wewe unaanza kutiririka ukifikiri sifa. Kumbe wanakuona hamnazo na hawana jambo lingine la kuzungumza na wewe.
Ndio hivyo wabongo tulivyo,ni hulka ambayo ipo,sio kwenye mpira tu,hata upande wa siasa.
Watu wakikutana kazini asubuhi kifungua kinywa ni habari za siasa.
 
Kwa uchunguzi mdogo niliofanya nimegundua kuwa watu wanazi sana wa hizi timu huwa hawako timamu kichwani.

Ukiona mtu muda wote au zaidi ya asilimia 70 ya maongezi yake ni Simba na Yanga. Muda mwingi anashinda amevaa jezi ya Yanga au Simba. Mitandaoni anafuatilia sana habari za Simba na Yanga. Mara Mukoko hivi, mara Manara vile, kuwa naye makini sana. Usimuamini kwa jambo la msingi. Huwa hawana mawazo ya maana. Hawana maongezi ya maana. Na mbaya zaidi wengi huonyesha dalili ya matatizo ya akili.

Jiepushe na watu wa namna hiyo.
Na ni kwanini wenye viti wengi wa matawi na wafadhiri wa hizi timu wanakuaga waislamu kuna siri gani?..........
 
Correct. It’s really disconcerting to realize that a bunch of these diehard fans are often suicidal or inclined to go on murderous rampages to express their displeasure with match outcomes.

No wonder the notion of insanity is easily associated with such personalities.
Someone to make suicide attempt due to club football results, it's crazy mind.

And others have their own depressions but uses football results as the reason to make suicide
 
Mbona kama unawasema kijanja Mwakalebela, Mudi na Haji...
 
Binadamu wana mambo mengi na wanatakiwa kuwa na kiasi kwa kila jambo hasa mwanaume. Unatakiwa ukikaa na watu uweze kuwa na mazungumzo ya aina mbalimbali. Sasa wewe mtaa mzima au ofisini wanajua wewe ni mtu wa mpira, mzungumza mpira muda wote.

Wakikuona tu wanaanza kukuchonoa na habari za mpira. Na wewe unaanza kutiririka ukifikiri sifa. Kumbe wanakuona hamnazo na hawana jambo lingine la kuzungumza na wewe.

You have a point here.

Mwanangu mmoja yeye ni story za pisi 24/7 365 mwanangu sana ila zinachosha sometimes.
 
Kwa uchunguzi mdogo niliofanya nimegundua kuwa watu wanazi sana wa hizi timu huwa hawako timamu kichwani.

Ukiona mtu muda wote au zaidi ya asilimia 70 ya maongezi yake ni Simba na Yanga. Muda mwingi anashinda amevaa jezi ya Yanga au Simba. Mitandaoni anafuatilia sana habari za Simba na Yanga. Mara Mukoko hivi, mara Manara vile, kuwa naye makini sana. Usimuamini kwa jambo la msingi. Huwa hawana mawazo ya maana. Hawana maongezi ya maana. Na mbaya zaidi wengi huonyesha dalili ya matatizo ya akili.

Jiepushe na watu wa namna hiyo.
Umewalenga mashabiki wa simba mkuu. Kweli hiyo timu ina wengi hamnazo. Sikutanii
 
Back
Top Bottom