ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Mbona tupo wa kuwazalosha, mnajificha wapi🤣Na wengi sana hatuna mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona tupo wa kuwazalosha, mnajificha wapi🤣Na wengi sana hatuna mkuu
Bro soon tuna fatia🤣😂Kwa hyo kijana wangu ulipanga ukiwa financially stable ndo utazaa?
Mkuu kweli huna mtoto?, ila if Ume fika 30 Jitahidi uwe na mwenzio angalau.Hiyo haifanyi kuwa watu wote tuna watt mkuu
Wengi tu Bado Hawana
Miaka 40 bado unazaa? CrazyWadau nina Umri wa Miaka 40 nina mpango wa kuoa na kupata mtoto wa kwanza.Najiuliza je huyo Mtoto kwa mtiririko wa Elimu ya Nchi hii mpaka anamaliza Chuo mimi Mzazi wake nitakuwa na Umri gani?
Najaribu kutaka kujua ili nifanye MAAMUZI. Naamini Majibu yenu yatawasaidia Watu wengi kupanga Umri sahihi wa kuoa na kuwa na Familia.
zaeni ndugu zangu kuna faida nyingi sana lakini pia inasikitisha sana kumzika kijana wa miaka 45 anaeishi kwa wazazi na hana hata mtoto wakati machalii wa 2000 wana watoto zaidi ya watatu dah!🐒Kupanga ni kuchagua boss
kataa ndoa iwe ni sehemu ya kijiwe cha porojo za kuondolea stress za madeni ya kausha damu, right gentleman?🐒Mkuu kweli huna mtoto?, ila if Ume fuka 30 Jitahidi uwe na mwenzio angalau.
Sio kweli kabisa, miaka 40 kwa mwanaume bado kijana labda kwa mwanamke ndio kungekua na shidaAchana na mambo yakuzaa ushachelewa,mtoto atakuita babu, au tafuta heka kweikweli ndani ya miaka mitano,hata ukifa mtoto hapati shida.
wazazi hulia kwa uchungu na huzuni mingi sana wanao wa umri wa miaka zaidi ya 40 wanapotangulia mbele za haki huku wanawaona,Ni wewe tu ndio huna boss.
hii haiwahusu kataa ndoa team gentleman, sorry 🐒Unazaa na nani SS huyo mtt 😂
misemo hii huwakera sana wanaopambana kupata watoto bila mafanikio kwa muda sasa, hasa wale wa umri wa miaka 40 au zaidi gentleman 🐒umri NI NAMBA.
Mpaka umeweza kuandika huu uzi natumaini unajua hesabu za kujumlisha na kutoa,acha uvivu mbona hizo ni hesabu za darasa la pili...Wadau nina Umri wa Miaka 40 nina mpango wa kuoa na kupata mtoto wa kwanza.Najiuliza je huyo Mtoto kwa mtiririko wa Elimu ya Nchi hii mpaka anamaliza Chuo mimi Mzazi wake nitakuwa na Umri gani?
Najaribu kutaka kujua ili nifanye MAAMUZI. Naamini Majibu yenu yatawasaidia Watu wengi kupanga Umri sahihi wa kuoa na kuwa na Familia.
ibrahim alipata mtoto akiwa na miaka 90 huko.nini miaka 40?misemo hii huwakera sana wanaopambana kupata watoto bila mafanikio kwa muda sasa, hasa wale wa umri wa miaka 40 au zaidi gentleman 🐒
Gentleman mimi sija sema masuala ya ndoa hapa, kiufupi kataa ndoa wengi Wana hela.kataa ndoa iwe ni sehemu ya kijiwe cha porojo za kuondolea stress za madeni ya kausha damu, right gentleman?🐒
sasa wewe mmatumbi wa msata ndio Ibrahim?🐒ibrahim alipata mtoto akiwa na miaka 90 huko.nini miaka 40?
wote ni wanaumesasa wewe mmatumbi wa msata ndio Ibrahim?🐒
Gentleman,Gentleman mimi sija sema masuala ya ndoa hapa, kiufupi kataa ndoa wengi Wana hela.
Ila hawa pendi matatizo na kelele za ndoa isiyo salama.