Ukipata mtoto ukiwa na miaka 40, mpaka anamaliza chuo utakuwa na umri gani?

Ukipata mtoto ukiwa na miaka 40, mpaka anamaliza chuo utakuwa na umri gani?

Ibrahim alizaa Mtoto wake wa kwanza akiwa na miaka mingapi?
Mkuu, unataka rejea ya mtu aliyeishi miaka 175? Achana na rejea za kale, Chukua mazingira ya sasa ya mwanaume anayeshindia sijui kiepe yai, pepsi na energy drinks.
 
wote ni wanaume
jitahidi sana kwa wakati muafaka katika na umri sahihi upate mtoto na ikiwezekana watoto ambao ni Baraka kutoka kwa Mungu na hiyo ni zawadi muhimu sana kwa wazazi wako 🐒
 
Gentleman,
hata mimi nimechomikea tu na kukapanua kidogo hako kapointi,

ila ni muhimu kuzaa watoto kwa wakati na umri sahihi na muafaka, kuepuka fedheha na usumbufu wa kufanya hivyo umri ukiwa umekutupa mkono 🐒
naam gentleman, ila upate mtu sahihi na sio majaribio majaribio.

beside mpunga pia uwepo, jiandae ka hela kawepo ndani ili kuweka mazingira mazuri.
 
Wadau nina Umri wa Miaka 40 nina mpango wa kuoa na kupata mtoto wa kwanza.Najiuliza je huyo Mtoto kwa mtiririko wa Elimu ya Nchi hii mpaka anamaliza Chuo mimi Mzazi wake nitakuwa na Umri gani?

Najaribu kutaka kujua ili nifanye MAAMUZI. Naamini Majibu yenu yatawasaidia Watu wengi kupanga Umri sahihi wa kuoa na kuwa na Familia.
Yote mipango ya MUNGU wapo waliopata watoto wakiwa na miaka 25 lakini wapofika 30yrs wakaondoka zao, wewe unayepata mtoto ukiwa 40yrs unaweza ukaishi mpaka wakakuanika nje kama makopa.
 
Mkuu, unataka rejea ya mtu aliyeishi miaka 175? Achana na rejea za kale, Chukua mazingira ya sasa ya mwanaume anayeshindia sijui kiepe yai, pepsi na energy drinks.
Watu wanaishi acheni kujipa stress ,kuzaa sio lazima lakini mtu atapata furaha akipata mtoto kwa umri wowote ule.

Hakuna cha zaidi unatarajia kwa mtoto wala yeye kutarajia kutoka kwako kwa sababu maisha yote ni kubahatisha ,unaweza kufa kesho wanaoa wakaishi kwa tabu ...Acheni kuamini mambo ya hovyo hayana maana kila mtu aishi atakapozaa ndiyo fungu lake.
 
jitahidi sana kwa wakati muafaka katika na umri sahihi upate mtoto na ikiwezekana watoto ambao ni Baraka kutoka kwa Mungu na hiyo ni zawadi muhimu sana kwa wazazi wako 🐒
Kuzaa ni majaliwa wa mwenyezi MUNGU unaweza kuoa kuolewa mapema lakini usijaliwe mapema watoto.
 
naam gentleman, ila upate mtu sahihi na sio majaribio majaribio.

beside mpunga pia uwepo, jiandae ka hela kawepo ndani ili kuweka mazingira mazuri.
Yes gentleman,
hiyo ni muhimu sana na huwa haishindikani pakiwepo na force ya kukufanya uchacharike kwa bidii bila kuchoka kuitafuta ngawira kwaajili ya familia, kuepuka kuumbuka 🐒
 
Kuzaa ni majaliwa wa mwenyezi MUNGU unaweza kuoa kuolewa mapema lakini usijaliwe mapema watoto.
Watanzania wengi wako programmed imani zao zinafanana ndiyo maana hakuna mabadiliko hata wasome akili zao ni sawa...Mtu anahofia kupata mtoto kuliko kufa.

Kuna dogo wa 2000's kazikwa Tanga Msambweni juzi amekufa ,kaacha mtoto mdogo kabisa ...Sasa fikiria alijua kama atakufa licha ya kupata mtoto na miaka 24 ila kaenda .
 
Yes gentleman,
hiyo ni muhimu sana na huwa haishindikani pakiwepo na force ya kukufanya uchacharike kwa bidii bila kuchoka kuitafuta ngawira kwaajili ya familia, kuepuka kuumbuka 🐒
ila mi naona uchakarikaji una paswa uwe wa self reason, sio kisa mahusiano ndo uanze kupambana.

maana siku mahusiano yakifa, uta kuwa mvivu?.

Kikubwa kijana awe angalau 23 ili awe na mahusiano, lakini pia azingatie career na financial freedom zaidi.
 
Kuzaa ni majaliwa wa mwenyezi MUNGU unaweza kuoa kuolewa mapema lakini usijaliwe mapema watoto.
watu wa aina na wenye hali hiyo wanahesabika mtaani gentleman,

huna sababu ya kujificha kwenye hicho kichaka ambacho kinakuonyesha ulivyo🐒
 
1. Kufikisha miaka 40 bila kuoa (unless kulikuwa na kizuizi)
Kuna watu hobby zao na uhuru wao ni kitu cha msingi sana (nimekutana na sampuli ya watu wa aina huu), mtu ana pesa zake ana biashara zake lakini anachelewa sana kuoa
Kuna jamaa mtoto wa kishua hapo Masaki aliwahi sema atakuja kuoa akikanyaga mabara sita na kweli akafanya hivyo na sahizi kaoa akiwa 40+
 
watu wa aina na wenye hali hiyo wanahesabika mtaani gentleman,

huna sababu ya kujificha kwenye hicho kichaka ambacho kinakuonyesha ulivyo🐒
Yote ni mipango nje ya uwezo wa binadamu ,kama umepata mtoto basi ni wako sio wa mwingine...Hiyo mitazamo yako haipo kabisa ni kulazimisha mambo ..

Dunia yote ni ubatili ,mwishoe unakufa .
 
ila mi naona uchakarikaji una paswa uwe wa self reason, sio kisa mahusiano ndo uanze kupambana.

maana siku mahusiano yakifa, uta kuwa mvivu?.

Kikubwa kijana awe angalau 23 ili awe na mahusiano, lakini pia azingatie career na financial freedom zaidi.
utamaduni wa self-governing kwa vijana wa kiTanzania hasa graduates ni tatizo kubwa sana nchini. Kwenye financial management ndio tatizo kubwa zaidi,

At least vijana wa vijijini ambao wakitoka jando tu tayari anaanzisha kageto kake na kisha mji wake na mke wake tena akiwa na 19-20 years kwasabb aligotea darasa la7,

na nyakati hizi,
uwekezaji katika ardhi unalipa zaidi mijini na vijijini na kukuhakikishia uhakika ustahimilivu wa kiuchumi katika malezi.

ni kuamua tu na kujikubali 🐒
 
Watanzania wengi wako programmed imani zao zinafanana ndiyo maana hakuna mabadiliko hata wasome akili zao ni sawa...Mtu anahofia kupata mtoto kuliko kufa.

Kuna dogo wa 2000's kazikwa Tanga Msambweni juzi amekufa ,kaacha mtoto mdogo kabisa ...Sasa fikiria alijua kama atakufa licha ya kupata mtoto na miaka 24 ila kaenda .
Umeona ee, mie mwenyewe mtoto kaka aliyezaliwa namuona aliacha mkewe mjamzito sahizi mtoto wake yupo , sasa utampangia MUNGU kuhusu kuzaa? Hata nikiwa na 50 nikipata ujauzito nazaa tu MUNGU mwenyewe atajua ili mradi mazingira nayaweka vizuri sasabu najitambua.
 
Yote ni mipango nje ya uwezo wa binadamu ,kama umepata mtoto basi ni wako sio wa mwingine...Hiyo mitazamo yako haipo kabisa ni kulazimisha mambo ..

Dunia yote ni ubatili ,mwishoe unakufa .
yaani umeze P2 au kujimaliza kwa Nyeto halafu usingizie mipango ya Mungu, hiyo ni kufuru gentleman 🐒
 
utamaduni wa self-governing kwa vijana wa kiTanzania hasa graduates ni tatizo kubwa sana nchini. Kwenye financial management ndio tatizo kubwa zaidi,

At least vijana wa vijijini ambao wakitoka jando tu tayari anaanzisha kageto kake na kisha mji wake na mke wake tena akiwa na 19-20 years kwasabb aligotea darasa la7,

na nyakati hizi,
uwekezaji katika ardhi unalipa zaidi mijini na vijijini na kukuhakikishia uhakika ustahimilivu wa kiuchumi katika malezi.

ni kuamua tu na kujikubali 🐒
All in all, maisha ina bidi yaendelee.
 
Back
Top Bottom