Ummy Mwalimu: Kuanzia sasa matibabu ya Joseph Haule(Prof. Jay) yatagharamiwa na Serikali
Sasa kama analipiwa na serikali mil 22 za nini tena?
Na hapa umemuaga mke wako kabisa unawahi Kazini. Laiti angejua nakukuona sasa hivi umening'iniza poumbou kwenye sofa za lounge lumumba ukiposti utopolo kusubiria b7 jioni na miID yako uchwara lukuki ukiposti nakujijib.
 
Jambo jema sana, serikali iwaone na makapuku wengine wanaokufa kwa maumivu sana kwa kukosa support ya matibabu.

#HAKIKWAWOTE.
Hapa serikali ipo kisiasa zaidi na siyo kama unavyofikiri. Makapuku hawawezi kutoa mileage ya kisiasa kama inayopatikana hapo sasa.
 
Back
Top Bottom