Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
We taahira kweli!!!!Makada Chadema tumechanga mil 22,safi sana. View attachment 2118965
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We taahira kweli!!!!Makada Chadema tumechanga mil 22,safi sana. View attachment 2118965
Na hapa umemuaga mke wako kabisa unawahi Kazini. Laiti angejua nakukuona sasa hivi umening'iniza poumbou kwenye sofa za lounge lumumba ukiposti utopolo kusubiria b7 jioni na miID yako uchwara lukuki ukiposti nakujijib.Sasa kama analipiwa na serikali mil 22 za nini tena?
Na ndo wanataka tuwape Nchi hawa plus na shangazi Yao yule anaesapport Mashoga [emoji16]Are you a drug abuser?
Wahenga wanasema dawa ya moto ni moto.sasa tiwarafute wahenga watipatie dawa ya moto🏃🏃🏃Makada Chadema tumechanga mil 22,safi sana. View attachment 2118965
Sasa kama analipiwa na serikali mil 22 za nini tena?
Musiemusa hapa umenichekesha sanaMtoto wako akinunuliwa zawadi ya nguo na shangazi yake kwa hiyo zile nguo zake zote za zamani utazichoma moto?
Tusikoseane heshima, mimi sio mwanaCcm na sijafanya kosa kutoa ushauri.Hujachanga kisha unaleta kimbelembele zitumike vipi! Kawashauri ccm wenzio jinsi ya kutumia hela zao.
Tusikoseane heshima, mimi sio mwanaCcm na sijafanya kosa kutoa ushauri.
Wewe mwenyewe kama huna hela ya kula sema. Unataka nikichanga nikutaarifu?Ww ni ccm uliyepoteza ramani, unatoa ushauri kwenye hela za wanaume kwani umechanga?
Hapa serikali ipo kisiasa zaidi na siyo kama unavyofikiri. Makapuku hawawezi kutoa mileage ya kisiasa kama inayopatikana hapo sasa.Jambo jema sana, serikali iwaone na makapuku wengine wanaokufa kwa maumivu sana kwa kukosa support ya matibabu.
#HAKIKWAWOTE.
Wewe mwenyewe kama huna hela ya kula sema. Unataka nikichanga nikutaarifu?
Kwa hiyo ugonjwa wa mtu ndio mmefanya mtadi?Naomba ukichanga unitaarifu ili nipate hela ya kula.
Kwa hiyo ugonjwa wa mtu ndio mmefanya mtadi?
Mimi sio Ccm ndio maana nashauri zitumike kwa ajili ya chama chetu maana anatibiwa na govt.Nyie ccm ndio mmegeuza mtaji.
Mimi sio Ccm ndio maana nashauri zitumike kwa ajili ya chama chetu maana anatibiwa na govt.