Ummy Mwalimu: Kuanzia sasa matibabu ya Joseph Haule(Prof. Jay) yatagharamiwa na Serikali
Tumia akili na wewe. Hata kama unajiweza kiasi gani but kutumia 4m kwa wiki hospitali sio kitu kidogo ndugu

Halafu familia haijaomba michango ila watu wa karibu ndo wamejisikia kuhamasisha kusaidia
 
Ummy,

kwanza kabisa umefanya jambo la maana sana kughramikia matibau ya Prof lakini labda tu nikwambie umeyasema hayo ktk wakati usio sahihi hata kidogo.

Prof hana shida kiuchumi hivyo acheni kbisa kuingiza siasa ktk maswala ya msingi,kuna watu wengi hasa kule ikungilyankoma simiyu wanahitaji matibabu na hawana usaidizi eti leo mnakuja hapa kutumabia kwamba mmeona mghramikie kupunguza ugumu wa maisha kwa prof. narudia acheni kucheza na maish ya watanzania kisiasa.

kama kumsaidia ,anzeni kusaidia watu waio na uwezo na wana magonjwa makubwa makubwa hao watangazeni,ila hawa wenye uwezo na profle mkitaka kufanya fanyeni kimya kimya CCM mnakwama sana acheni siasa ktk masha ya watanzania.

nimemaliza,naamini ujumbe utaupata dk hii hii.
Lipi jema hapa duniani!
 
Prof j ni wa kwetu wote na watanzania tumeshaamua kujitoa kwa hali na mali kuhakikisha ndugu yetu huyu anapona na anarudi kuendelea na majukumu yake

Prof j ni msanii mkubwa pia ameshawahi kuwa mbunge mimi naona ni sawa tu serikali kugharamia matibabu
 
Tumia akili na wewe. Hata kama unajiweza kiasi gani but kutumia 4m kwa wiki hospitali sio kitu kidogo ndugu

Halafu familia haijaomba michango ila watu wa karibu ndo wamejisikia kuhamasisha kusaidia

Wabongo wanapenda sana kulalamika. Walipo pitisha bakuli la kumchangia, pia walilalamika, kana kwamba walilazimishwa kuchangia!

Yaani wamegeuka kuwa kama wachawi vile! Au wanasubiria afariki, ndipo waje humu na meseji zao za kinafiki! Tabia ya hovyo sana hii.
 
Acha wamchangie kujulikana kwake,umaarufu wake umechangia napo
Sisi/nyie tukipatwa na janga tuchangiane wenyewe kwa wenyewe

Ova
 
Na hapo ndipo shida ilipo kama nachangia Kila mwezi lakin nikipata ugonjwa mzito kama huu sisaidiwi hiyo bima ni ya nini?
Ya kutibu malaria? Nini tofauti Kati ya mtu mwenye bima na asiyenayo kama mambo yako hivi? Ni nini kinaangaliwa ili magonjwa mengine yaondolew kwenye bima? Nini mchango wa serikali kwenye kufanya huu mfuko ushindw kuhudumiwa wanachama?
Mkuu bima ni biashara kama biashara zingine , focus ipo kwenye faida tu.
Hata Ulaya system za bima zinafanya hivyo, magonjwa ya gharama hawatibii, tena afadhali yetu huku sisi unaweza hata kuwa na premium health insurance, bila hata ya wao kujua afya yako , ulaya kuna baadhi ya bima watataka wajue medical records zako ili wajiridhishe kuwa ni mzima bukheri wa afya,wagonjwa hawawapi huduma ya bima .
 
Duuh watu munawaza kijinga Sana!
Yaani huduma za serikali ambazo ni haki yetu sote inatolewa kiupendeleo we unaita bahati

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bila shaka wewe ndiye mjinga! Umeshasema huduma za serikali ni haki yetu sote lakini inatolewa kwa wachache waliobahatika, huoni hiyo ni bahati kwa sababu serikali ingeweza kupuuza kama inavyowapuuza wengi!
 
Wabunge,ma dc,ma rc, makamu wa rais, rais,majaji, hawachangiii NHIF.
Jamaa unaropoka tu kitu usichokifahamu
Wewe ni mpumbavu na mjinga! Uliona wapi au nchi gani viongozi na wananchi wa kawaida wana privilege sawa?
 
Wewe ni mpumbavu na mjinga! Uliona wapi au nchi gani viongozi na wananchi wa kawaida wana privilege sawa?
mpumbavu wewe usiejielewa, wa taarifa yao swala la bima ya afya kwa nchi nyingi zenye watu anaojitambua hazibagui raia wala viongozi
viongozi wote wanalipa kodi sawa na watumishi na wananchi wengine na wote wanakuwa na kitu kinaitwa social protection sawa.
Sasa ii nchi kwa mijitu yenye akili kama wewe mnaona viongozi ni kama miungu watu kima wewe.
TWAWEZA waliongea kweli kabisa mijitu mingi inayoshabiia CCM haina akili kama wewe
 
Na Watanzania wengine walio wagonjwa watagharamiwa na nani?

Kwanza kwa nini agharamiwe na serikali? Ni mtumishi wa serikali kwani?

Ni bora tu wangeacha watu wamchangie na wao kama wanataka kumsaidia, basi wangechanga tu kama watu binafsi.
Inashangaza sana kwamba kuna mamia ya wananchi wanashindwa kuchukua maiti za wapendwa wao kisa wanadaiwa gharama za matibabu. Kuna wengi ambao wanafariki kwa kukosa fedha ya kugharimia operesheni na tiba kwa ujumla. Upo sahihi mkuu. Serikali ilitakiwa kuchangia tu.
Hii inanikumbusha saluti aliyopiga yule kamanda wetu wa polisi Dar es Salaam kwa jeneza la marehemu Kanumba makaburini Kinondoni. Kamanda wetu alikuwa na kengeza, sasa ni mstaafu, jina linenitoka. Inaonekana viongozi hupenda kupanda migongo ya watu maarufu.
 
Hizi ni roho mbaya.

Wewe Unaona ni sawa Serikali kukaa kimya watu wanashika mabango kuchangishana ili Mbunge Mstaafu apate Matibabu?

Ni mara nyingi TU serikali imesaidia watu wanaojitokeza kuomba michango ya kusaidia wahitaji.

Tusikosoe kila kitu Kwa sababu TU ya roho Mbaya.

Mbona Kuna wapinzani walichangiwa ili walipe faini za mil 30 wakati walikua na uwezo wa kulipa wenyewe.?
Kwani wasingelipiwa wangekufa?

Suala la Matibabu ni suala la kisera sio jambo la kukurupuka na kuanza kulaumu Kwa sababu TU serikali imeona ijaribu kuokoa maisha ya Prof. Jay.

Matibabu Duniani kote ni ghali sana.
Serikali Kwa hili naipongeza. Kuna watu wanatumia matatizo ya watu kama mitaji bila huruma.

Serikali itagharamikia na ukurasa wa michango na vibango vya kuchangia imefungwa.

Anayetaka michango achange akawatibu wengine nao wanahitaji michango.

Kwa Nini hao wanaofanya makongamano ya michango wasifanye ili walipe Matibabu ya wahitaji wengine? Hili la Jay serikali imelibeba . Waendelee na michango ,mbona wapo wengi wanaohitaji tena wanachama wao?
ni hivi kwanza hakuna cheo cha mbunge mstaafu.
Pili kuna wahitaji wengi sana ambao wangeitaji kusaidiwa na serikali tena wao mahitaji yao ni makubwa kulipo huyo mtu ambaye wa miaka 5 2015-2020 aliuwa mbunge na aliingiza kipato cha zaidi ya bilion 1.wa kipindi hicho
kuna watu maskini wanahangaika kwa ajili ya kukosa fedha za matibabu hao ndio seriali ingetakiwa iwasaidie.
Hata sisi waroma tuna sala yetu tunapomuomba Mungu tunamwombia awasiadie kwanza "wenye mahitaji zaidi kulipo sisi"
 
mpumbavu wewe usiejielewa, wa taarifa yao swala la bima ya afya kwa nchi nyingi zenye watu anaojitambua hazibagui raia wala viongozi
viongozi wote wanalipa kodi sawa na watumishi na wananchi wengine na wote wanakuwa na kitu kinaitwa social protection sawa.
Sasa ii nchi kwa mijitu yenye akili kama wewe mnaona viongozi ni kama miungu watu kima wewe.
TWAWEZA waliongea kweli kabisa mijitu mingi inayoshabiia CCM haina akili kama wewe
Kubishana na taahira ni sawa na kumpigia gita mbuzi!
 
Mhh !!!!

Haya ni Majibu mepesi kwa Maswali Magumu..., Hakikisheni gharama za Matibabu ni rafiki kwa kila kiumbe na sio kutoa Charity everytime you see Fit..... (which most of the time you don't)

Hayupo pale kuchague nani alipe na nani asilipe bali kuhakikisha Healthcare is Reachable and Affordable for All....

Ni jambo la msingi kuangalia mfumo ambao ni “inclusive” kwa kila mtu!

Mkuu mawazo yako ndio fact yenyewe
 
wewe ndiyo mmoja wapo wa matahaira mliotajwa kwenye ripoti ya TWAWEZA kwenda zao tahaira mkubwa wewe
Unaonyesha wazi utaahira ulionao ni wa kurithi vinginevyo ungepelekwa Mirembe kwa matibabu!
 
Back
Top Bottom