Hivi hamuwazi vitu vingine zaidi ya huu umaskini?!!!!!! Inaboa mno sometimes.
failed state,kwamba tusifu utendaji uliotukuka? au amehamishwa kwa sababu ya uchapakazi bora? badilika zama za watz mapunguani zilipita tunajua mbivu na mbichi.
N.B:Inaboa mnoo kuona taifa linawatu machawa kama wewe!
 
Clearly, My Mother is fumbling around!
 
ivi huyu si ndio alisema bebeni mabango hata ya mat***toasi njooni nayo au, halafu akantenguliwa sasa sijui alirudishwa kwanini
 
Makalla tulijua Dar haimtoshi, baada ya kushindwa kutatua changamoto ya wafanya biashara na TRA.
Kawekewa msuli mixa upaja kaufyata mkia, bi mkubwa kaona huyu ngoja tumtafutie pengine hapa hapawezi panahitaji mtu mtu kweli mtu na Nusu si maskhala na Dar tukigoma tumegoma, kafanya sub faster anatoka Makalla anaingia Chalamila Ila aangalie tu Dar Ina mengi na yeye asije akachomolewa mda si mrefu
 
failed state,kwamba tusifu utendaji uliotukuka? au amehamishwa kwa sababu ya uchapakazi bora? badilika zama za watz mapunguani zilipita tunajua mbivu na mbichi.
N.B:Inaboa mnoo kuona taifa linawatu machawa kama wewe!
Kwani mi nimesifia nn ndugu hadi uniite chawa?!!!!! Sijasema lolote kama hayo mabadiliko yako sawa au hayako sawa. Nilikuwa nashangaa tu, katika mengi ambayo ungeweza kutolea maoni uamuzi huo (kusifia au kuponda) iweje unawaza habari ya watu kufaidi keki ya taifa tu?!!!! Ungeweza kutuambia unafikiri nani anafaa hapo dar n.k
 
Chalmila alienda Kagera Kwa mikwara, jambo la kwanza ilikuwa kuwananga Wahaya mwanzo mwisho...akajinasibu sana kuunyosha mkoa akahaidi mambo kibao, ila mpaka Sasa sijui ametoka amefanikisha mangapi...Mungu amtangulie Huko aendako.
 
Chalamila kaja DSM tuinjoi mbwembwe zake
Ndiyo maana mimi huwa nasema Tanzania itazidi kudidimia. Huyu ni mtu mzima hajui kuwa uongozi bora ni muhimu kwenye maisha yake. Anaona mbwembwe ndiyo muhimu tena kabisa anasema tu-enjoy! Ni elimu yetu inazalisha mindset za aina hii? Siku utakapojitambua kuwa hukutaka ku-enjoy mbwembwe za viongozi bali kuwa serious na kuwasimamia wawajibike utakuwa umeshachelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…