Hahahaa!! Tatizo la Dar wakuu wote wapo hapo, hakuna wa kumchapa mboko mwengine, kila mtu Mbuyu.Huyo atawatia mboko wakome.
Bwashe ujue hili huku kwetu ni tusi kubwa sanaSwela, swela,swela!
Tulia kijana, mama anapika.Hili ndilo analoliweza Bi Maza! Chalamila atafanya maajabu gani kwa wafanyabiashara!!
Thubutu.Makonda atarudi hivi karibuni, muda ni wakati mzuri.
Mtu smart Muhimu upo Dada letu umepotea sana....Uko kama mimi
Shida ni kusimamia, au jinsi yakulitatua si ajabu mpaka wamegoma sio kwamba wameamka leo na kugoma inamaana kabla walishatoa malalamikoHaijalishi yupo nani, tatizo halimgusi RC moja kwa moja.
Shida ipo kwa TRA vs Matajiri.