tuwape muda, djibut walienda pia ila waliishia kushitakiana, tuwape muda, kama watatufaa safi ila tusiwape sifa mapema hivi.
 
 
Tutaona tofauti ya mtakanganyika na mzanzibari ...afe kipa . afe beki.
 
tuwape muda, djibut walienda pia ila waliishia kushitakiana, tuwape muda, kama watatufaa safi ila tusiwape sifa mapema hivi.
Kwenye mikataba hyo ni kawaida. Lakini pia wana hiyo record kwenye nchi moja tu miongoni mwa nchi nyingi walizowekeza.
 
Za ndani ndani zinasema baada ya serikali kutaka kufanya uwekezaji bandari kwa ushirika na DP-World, kanisa katoliki lilitoa onyo kali juu ya vipengere kadhaa vya mkataba baada ya purukushani hiyo serikali iliamua kukaa meza moja na kanisa

Habari za ndani zinasema baada ya ubishani kati ya TEC na serikali maridhiano yalifikiwa kwamba wanasheria wa kanisa na serikali washirikiane pamoja katika kurekebisha vipengere muhimu, baada ya hapo wakakubaliana sasa uwekezaji uendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…