Utiaji saini Mkataba wa Tanzania na DP World: Mkataba utakuwa wa miaka 30 na utendaji kazi wake utapimwa kila baada ya miaka 5 na sio miaka 100
Usibishe lengo kuu la DP world kujenga misikiti na kuvunja makanisa!!
Nibishe nini na jana limrtangazwa hilo katika utiaji saini.

Tena mpaka mitaa yite kuwa na misikiti.

Wewe unangoja nini kusali msikitini?

Unaelewa jana askofu kaoiombea dua DP World jkwa jina la Yesu?
 
Kumbukeni IGA ya kikanjanja inayolinda hiyo mikataba ya utekelezaji ipo palepale, bado tutaenda kupigwa na kitu kizito na kuishia kulipa mabilioni kama ile bil. 75 iliyolipwa hapa juzi kati.
 
Kuna ubaya gani mkisema mmedundwa na kitu kizito?
Huku Makonda Paul, kule mikataba 3 ya Bandari!
TEC wanaponaje hapo?
Unajitekenya Huku ukicheka mwenyewe.. mh.Rais mwenyewe amesema mkataba huo umezingatia maoni ya "viongozi wa dini", wananchi na wanasiasa na wastaafu... Na mama hakuwa na ugomvi na TEC na ndo MAANA alipoenda Tabora alienda kumsalimia Cardinal, na Jana aliwaalika TEC na walikaa sehemu za mbele...

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Jonee:

 
Waamini huwa hatuna hofu kubwa, japo tunaogopa yanapotokea maamuzi magumu.

TEC wanajua kilichotokea, je, watanyamaza kimya au watamlilia Bwana ?
 
Hebu acha kuongea upuuzi aisee😁
Nilijua tu lazima haya madini utasema ni upuuzi, ila sishangai ndio shida ya Magonjwa Mtambuka, hapo unayeongea na kuandika sio wewe japo unajiona ni wewe ila ni Magonjwa Mtambuka yanayokusibu, ila usijali utapona tu Beibi, ila nao uchawa ni kazi tu kama kazi nyingine. Eti Mkataba huu sio wa Milele mbona hakutuambia tangu kipindi kile kuwa mkataba ni wa Miaka 30, anakuja kujitokeza baadae wewe endelea tu na Ki- Zittto chako.
 
Nilijua tu lazima haya madini utasema ni upuuzi, ila sishangai ndio shida ya Magonjwa Mtambuka hapo unayeongea na kuandika sio wewe japo unajiona ni wewe ila ni Magonjwa Mtambuka yanayokusibu, ila usijali utapona tu Beibi
Yaani umekazania kutajataja jina langu tu; upuuzi mtupu😁😁
 
Binuka nikubamize kwa mpalange.
😀 😀 😀 : Mwambie bwana wako Zuberi akupige na kitu Ki-zitto chenye Mshindo mimi safari hii sitoboi mapapai yaliyoiva na kuoza. Halafu kabila letu sisi Mpalange ni Mashine jeusi linalosaidia kutungia Mimba, Kama unataka njoo Beibi mimi ninalo ila tofauti ni futi 0.05 ukilinganisha na Mpalange wa Punda
 
😀 😀 😀 : Mwambie bwana wako Zuberi akupige na kitu Ki-zitto chenye Mshindo mimi safari hii sitoboi mapapai yaliyoiva na kuoza. Halafu kabila letu sisi Mpalange ni Mashine jeusi linalosaidia kutungia Mimba, Kama unataka njoo Beibi mimi ninalo ila tofauti ni futi 0.05 ukilinganisha na Mpalange wa Punda
Binuka nikubamize kwa mpalange.
 
Back
Top Bottom