Vipi tena kwenye maslai ya nchi unaleta mpaka U-Mudy ?
Sasa si umesikia alichosema huyu katibu wa TEC leo eti kuwa hawakujua walichoitiwa kwenye ile hafla ya utiaji saini mikataba ya bandari sasa kama si upuuzi huo ni nini?
 
Mbona hamueleweki Katibu wa TEC anasema hawajauona mkataba na hawakujua walichiloitiwa pale wewe unasema tuwashukuru TEC wewe ni nani hapo TEC ?
 
Tumeona DP World na TPA wakitia sahihi mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Samia Hassan Suluhu hivi majuzi. Je, ule uliopitishwa na wabunge umefanyiwa marekebisho? Kama ndio, mbona hatujasikia kama wabunge walifanya hivyo? Je, hii mikataba sio ni watoto wa lile baba/ mama lao lililopita mjengoni na mpaka sasa halijabadilishwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…