Pamoja na kelele zote za watanganyika kuhusu bandari yao kuuziwa mwarabu, bado serikali inayoongozws na rais Samia imepuuza na kuwapa bandari warabu wa DP World.

View attachment 2789020

Leo mikataba 3 ya DP World inasainiwa rasmi.
Hii Haina tofauti na kelele za chanjo ya uviko kuwafanya mazombie 😁😁
 
Waarabu ni watu wema sana, juzi El Shanawary alipoumia na kupatiwa matibabu pale uwanjani, , Chama aliomba maji na juisi na kuonyeshwa upendo mkubwa sana na Waarabu:
Nawashangaa watanzania wanao shobokea Wazungu badala ya waarabu: Kuna watu nawapenda mpaka wanavyo ongea ni kama kiarabu flani, wanavaa na kaznu na vikofia ilimradi tu wafananie uarabu.
 
Mbona Miaka michache sana?
 
Mwenye upeo anaelewa hayo maneno yanamaanisha kitu gani, asiye na upeo atakuita chawa.
 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema kuwa mkataba wa DP World wa uendelezaji na uendeshaji wa Bandari ya Dar es Salaam ni wa miaka 30 na utendaji kazi wa DP World utakuwa ukipimwa kila baada ya miaka mitano.✍️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…