Walikua wanatamani sana kumkamata na kuzuia huo msafara wa leo, ila walihofia dunia nzima inalitazama hili swala la Lissu kurudi nchini pia wananchi wangechukua sheria mkononi (Wangefanya vurugu kuvunja magari, maduka, wangevunja airport, wangechoma matairi na fujo nyingine).

Tusijidanganye eti polisi wetu wamejifunza kuwa na busara au hekima, hilo halipo, mazingira tu ya leo yamewabana polisi.
 
He has all the qualities to be a very good leader for our beloved country. He’ll respect our constitution, parliament, judiciary and above all citizens of this country.
And the good about all that, is the fact that we will have the power to remove him if we are not satisfied with his leadership.
 
Reactions: BAK
Naye kafa kwa CORONA over
 

Out of context. Be human before speaking nonsense
 
Binafsi nilishuhudia tukio hili la Lissu kupandishwa kwenye ndege akiwa katika hali hiyo, na kwakweli wengi hatukutarajia kama angepona ila ndio hivyo Mungu ana makusudi naye.

Ukiangalia hii picha halafu ukimuangalia na mhusika leo hii na mapokezi aliyoyapata,unaishia kukiri huu ni muujiza wenye malengo fulani kwa Taifa hili.

Tusiseme mengi, tuachie muda uje useme.



Kwenye ndege usiku ule alipandishwa na wabunge wenzake na huyu mnayemuona akiwa ndani ya ndege ni Mwigulu.Aliyekuwa Naibu Spika,Tulia ndio aliongoza wabunge wenzake siku ile.
 
Exactly Mkuu that’s what we want in our beautiful country. If you don’t perform as per citizens’ expectations after 5 years we (voters) kick you out of office and replace you with a leader of a different party.

And the good about all that, is the fact that we will have the power to remove him if we are not satisfied with his leadership.
 
Mnapenda sana kukamatwa,muda bado upo kavunjeni vioo na kuchoma magari hata kesho dunia nzima itawaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…