Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.


Kasikilize tena,mimi nilisikia mwenyekiti wao then nikasikia raisi wetu na ndio raisi wa kwanza wa vyama vibgi.
 
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
Kwa hiki ulichokiandika wewe sio mzalendo kama unavyojiita, kinachokusumbua ni chuki uliyonayo kwa Mh.Lissu.

Ni kweli kabisa Lissu amesema anawapa pole ccm kwa kuondokewa na aliyekuwa Mwenyekiti wao kwa miaka 10. Hakuishia hapo, akaendelea kusema anawapa pole watanzania kwa kuondokewa na aliyekuwa rais wao, aliyekuwa mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Amesema anampa pole vilevile Rais Magufuli, na pia amesema mkapa alikuwa ni raisi wetu hivyo msiba huu si wa Rais Magufuli peke yake ni msiba wetu sote.

Na kesho tunatakiwa tusindikizane twende pale taifa tukamuage mzee Mkapa, tuwape pole ndugu zake na familia yake.

Sasa kauli ya ukakasi hapo ni ipi?
Mi nadhani wewe umeamua tu kuja kutuelezea chuki zako kwa ndugu Lissu.
 
Nani aliyemtelekeza mwenzie?

Mkuu uzi wa reference niliokupa una maelezo ya nani kamtekeleza mwenzake.

Sasa unaponiuliza maswali ambayo yako wazi kwenye sehemu niliyokupa tunakuwa hatupigi hatua mbele.

Tafadhali rejea kwenye reference ile wametajwa.
 
Lissu anapendwa aisee!! Upendo wa waTz kwa Lissu ni ule wa kutoka rohoni na sio wa kinafiki.

Nilikua Bar nakunywa divai huku nacheki taarifa ya habari kutoka ITV.

Habari zote zilizokua zinatangazwa raia walikua wanazichukulia poa tu hata ile ya kifo cha Rais wa awamu ya tatu.

Watu wengi waliokuepo ndani ya bar walikua busy na mambo yao ila baada ya presenter kutangaza habari ya ujio wa TL watu wakaripuka kwa shangwe, ukumbi ukajaa ghafla. Watu walionekana kua na attention kubwa sana ya kusikiliza habari ya ujio wa Lissu.

Kilichonishangaza ni umati huo mkubwa wa watu kutawanyika na kila mtu kuendelea na business zake baada ya taarifa ya TL kumalizika.

Kiukweli hii imenifikirisha sana.

Nilichojifunza ni kua mapenzi ya waTz kwa TL hayazuiliki hata kwa kuminya demokrasia kwa miaka 5.
 
Kwa hiki ulichokiandika wewe sio mzalendo kama unavyojiita, kinachokusumbua ni chuki uliyonayo kwa Mh.Lissu.

Ni kweli kabisa Lissu amesema anawapa pole ccm kwa kuondokewa na aliyekuwa Mwenyekiti wao kwa miaka 10. Hakuishia hapo, akaendelea kusema anawapa pole watanzania kwa kuondokewa na aliyekuwa rais wao, aliyekuwa mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Amesema anampa pole vilevile Rais Magufuli, na pia amesema mkapa alikuwa ni raisi wetu hivyo msiba huu si wa Rais Magufuli peke yake ni msiba wetu sote.

Na kesho tunatakiwa tusindikizane twende pale taifa tukamuage mzee Mkapa, tuwape pole ndugu zake na familia yake.

Sasa kauli ya ukakasi hapo ni ipi?
Mi nadhani wewe umeamua tu kuja kutuelezea chuki zako kwa ndugu Lissu.

Mkuu usitumie nguvu kubwa kumuelimisha buku7, ukute hata clip hajaiskiliza ila kakurupuka tu juu juu.
 
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
Mpendwa wetu Mh.Mkapa alikuwa Rais wetu watanzania wote ila alietoka chama cha ccm! UNGEKUWA UMESOMA HESABU ZA LOGIC UNGEMUELEWA LIUSSU
 

IMG_20200727_215627.jpg


IMG_20200727_215636.jpg


IMG_20200727_215959.jpg



IMG_20200727_215616.jpg











 

Attachments

  • CHADEMA-Tanzania_20200727_3.mp4
    2.1 MB
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
Wewe ni muongo sana, amesema huu ni wa watanzania wote na si wa JPM peke yake hivyo panapo majaaliwa kesho tutaenda na sisi kumuaga
 
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.

Umeshajua ni kwanini akimtaja Rais Dr. JPM huwa anakuwa na Hasira? Je, Serikali ya Magufuli hadi hivi leo imeshawataja wale Waliotaka Kumuua?
 
Pumba tupu leo hakuna cha maana, ngojeni kuangukia pua. ''Samaki mkunje angali mbichi.''
 
Back
Top Bottom