Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Utajijua mwenyewe!Matusi ya nini we kima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajijua mwenyewe!Matusi ya nini we kima?
Habari wadau
Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.
Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa
Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''
Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM
Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake
Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
Kwa hiki ulichokiandika wewe sio mzalendo kama unavyojiita, kinachokusumbua ni chuki uliyonayo kwa Mh.Lissu.Habari wadau
Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.
Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa
Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''
Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM
Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake
Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
Nani aliyemtelekeza mwenzie?
Kwa hiki ulichokiandika wewe sio mzalendo kama unavyojiita, kinachokusumbua ni chuki uliyonayo kwa Mh.Lissu.
Ni kweli kabisa Lissu amesema anawapa pole ccm kwa kuondokewa na aliyekuwa Mwenyekiti wao kwa miaka 10. Hakuishia hapo, akaendelea kusema anawapa pole watanzania kwa kuondokewa na aliyekuwa rais wao, aliyekuwa mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.
Amesema anampa pole vilevile Rais Magufuli, na pia amesema mkapa alikuwa ni raisi wetu hivyo msiba huu si wa Rais Magufuli peke yake ni msiba wetu sote.
Na kesho tunatakiwa tusindikizane twende pale taifa tukamuage mzee Mkapa, tuwape pole ndugu zake na familia yake.
Sasa kauli ya ukakasi hapo ni ipi?
Mi nadhani wewe umeamua tu kuja kutuelezea chuki zako kwa ndugu Lissu.
Mkuu wajumbe wamempiga spana baba yakoWewe kwa kujiweka karibu na Serikali umepata faida gani? Acha kila mtu aishi maisha yake
Mpendwa wetu Mh.Mkapa alikuwa Rais wetu watanzania wote ila alietoka chama cha ccm! UNGEKUWA UMESOMA HESABU ZA LOGIC UNGEMUELEWA LIUSSUHabari wadau
Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.
Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa
Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''
Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM
Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake
Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
Wewe ni muongo sana, amesema huu ni wa watanzania wote na si wa JPM peke yake hivyo panapo majaaliwa kesho tutaenda na sisi kumuagaHabari wadau
Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.
Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa
Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''
Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM
Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake
Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
Polis wenyewe wamesanda liwalo na liwe[emoji1] huwezi zuia mvuakafunika hadi msiba Wa mkapa, mataga yatataga mayai walahi
Habari wadau
Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.
Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa
Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''
Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM
Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake
Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
Mtasubir sanaLisu asifikiri tumemuogopa, tunamlia "timing" tu
laki eeeh hebu fanya kunitumia elfu40 kuna wakereketwa wapo meza yetu nataka niwazungushieLisu asifikiri tumemuogopa, tunamlia "timing" tu