Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,509
- 23,653
Walikua wanatamani sana kumkamata na kuzuia huo msafara wa leo, ila walihofia dunia nzima inalitazama hili swala la Lissu kurudi nchini pia wananchi wangechukua sheria mkononi (Wangefanya vurugu kuvunja magari, maduka, wangevunja airport, wangechoma matairi na fujo nyingine).
Tusijidanganye eti polisi wetu wamejifunza kuwa na busara au hekima, hilo halipo, mazingira tu ya leo yamewabana polisi.
Tusijidanganye eti polisi wetu wamejifunza kuwa na busara au hekima, hilo halipo, mazingira tu ya leo yamewabana polisi.