Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Walikua wanatamani sana kumkamata na kuzuia huo msafara wa leo, ila walihofia dunia nzima inalitazama hili swala la Lissu kurudi nchini pia wananchi wangechukua sheria mkononi (Wangefanya vurugu kuvunja magari, maduka, wangevunja airport, wangechoma matairi na fujo nyingine).

Tusijidanganye eti polisi wetu wamejifunza kuwa na busara au hekima, hilo halipo, mazingira tu ya leo yamewabana polisi.
 
He has all the qualities to be a very good leader for our beloved country. He’ll respect our constitution, parliament, judiciary and above all citizens of this country.
And the good about all that, is the fact that we will have the power to remove him if we are not satisfied with his leadership.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Je, marehemu alipowaita vyama vya upinzani ni Wapumbavu na Malofa; yeye alijiweka kama Mtanzania sawa na Watanzania wengine au alijiweka kama mwana-CCM?!

Hivi Marehemu alikuwa na habari kwamba Tundu Lissu alitaka kuuawa, na alinusurika kwa kudra za Mwenyezi Mungu tu?! Kama ndiyo, Marehemu aliwahi kutoa pole kwa Tundu Lissu au aliona huyo ni wale wale "Wapumbavu na malofa" kwahiyo hakuwa na muda wa kutoa pole?!!

Hivi marehemu ana habari hadi hivi sasa Ben Saanane hajulikani alipo, na kuna uwezekano mkubwa kwamba ameuawa?! Vipi uliwahi kumsikia Marehemu akiongea lolote kuhusu Ben Saanane au kamuona ni wale wale "wapumbavu na malofa"?!
Naye kafa kwa CORONA over
 
Many Chadema followers call Lissu a liberator, I agree – but he’s an opposition Liberator ? probably, but I believe he is true fraudsters and deceivers ,who fool hopelessness followers who have no capacity to do Hypothesis analysis and Synthesis analysis to assist them to arrive at a more meaningful conclusion as who Tundu Lissu is.

The Chadema leadership want to appropriate the language of revolution but have no history or track record to warrant them called Makamanda.

Out of context. Be human before speaking nonsense
 
Binafsi nilishuhudia tukio hili la Lissu kupandishwa kwenye ndege akiwa katika hali hiyo, na kwakweli wengi hatukutarajia kama angepona ila ndio hivyo Mungu ana makusudi naye.

Ukiangalia hii picha halafu ukimuangalia na mhusika leo hii na mapokezi aliyoyapata,unaishia kukiri huu ni muujiza wenye malengo fulani kwa Taifa hili.

Tusiseme mengi, tuachie muda uje useme.

1595879435448.png


Kwenye ndege usiku ule alipandishwa na wabunge wenzake na huyu mnayemuona akiwa ndani ya ndege ni Mwigulu.Aliyekuwa Naibu Spika,Tulia ndio aliongoza wabunge wenzake siku ile.
 
Exactly Mkuu that’s what we want in our beautiful country. If you don’t perform as per citizens’ expectations after 5 years we (voters) kick you out of office and replace you with a leader of a different party.

And the good about all that, is the fact that we will have the power to remove him if we are not satisfied with his leadership.
 
Mnapenda sana kukamatwa,muda bado upo kavunjeni vioo na kuchoma magari hata kesho dunia nzima itawaona.
 
Back
Top Bottom