Jana kulikuwa na mafuliko ya mapokezi ya Rais mtarajiwa. Ila cha ajabu magazeti na vyombo vyote vya habari viko bize na maombolezo ya mkapa.
Lissu ndiye rais wa Tanzania ajaye baada ya uchaguzi wa October.
Jibu swali, mwenyekiti wenu huko lumumba aligombea nafasi hiyo na watu wangapi?
Kwn hujui kuwa ni makamu mwenyekiti?
Kwn hujui kuwa ni makamu mwenyekiti?
Unaishi nchi gani ww ??Kama ni makamu mwenyekiti kwanini mpaka sasa hajatangazwa kuwa mgombea wa urais kama mwenzie mwenyekiti wa ccm?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kwann hawaivi ?Hilo sina tatizo nalo, je bado kuna mahusiano mazuri baina ya pande mbili? Nina hakika Lissu akiingia hapo hilo zoezi litageuka na kubeba hali ya kisiasa zaidi. Ila kama ataenda, na ikatokea bahati mbaya akapewa nafasi ya kuongea, ni vyema akadhibiti ulimi na hisia zake. Ni ukweli usiopingika kuwa Lisu haivi chungu kimoja na Magufuli, huenda hafla hiyo ikaweka tofauti hizo hadharani kwa namna hasi. Ni vyema ukatolewa ushauri kuondoa hizo tofauti kuwa hadharani, ama kila mmoja kulinda ulimi wake.
Ndo maana una mambo ya kushetani
Ndo maana una mambo ya kushetani
Ushauri mzuri ila CHADEMA ni wastaarabu sana, mambo waliyofanyiwa na viongozi wa CCM kama wangekuwa na traces za ukorofi lazima wangefanya vurugu kama za wapigania uhuru wa Afrika ya kusini.Huu ni zaidi ya ushauri.
Tundu Lissu hana sababu tena ya kupoteza muda mwingi wa kuzungumzia hali iliyompata. Ni nani asiyelijua hilo?
Sasa hivi atumie muda wake mwingi kuwa kama mwalimu, afundishe wananchi kuelewa haki zao za msingi ili wasiruhusu tena haki hizo zichezewe.
Ana haki, na uwezo wa kuzungumzia ulazima wa utawala bora na umhimu wake katika maendeleo ya nchi yetu.
Chaguzi zetu, afundishe watu kujua umhimu wa kuchagua viongozi wao wanaowataka wao bila ya kura zao kuharibiwa. Watu wajitokeze kwa wingi kupiga kura, ili hata kutokuwepo kwa Tume Huru ya Uchaguzi, iwe vigumu kwa tume hiyo kubadili matokeo.
Mahusiano yetu kimataifa, sio jambo la anasa, ni jambo la muhimu sana. Hatuwezi kujitenga kwa sababu uchumi wetu unategemea mahusiano hayo.
Waliopo huko ndani ya CHADEMA, ni wajibu wenu kumpa ushauri Lissu, na hasa kama ndiye atakayekuwa mpeperusha bendera wenu.
Wananchi sasa hivi hawategemei kuona nyinyi ndio mkiwa wachokozi. Mliyotendewa liwe fundisho, lakini msitafute kuchokoza kama njia ya kulipa kisasi. Mtapoteza imani ya wananchi
Hujui au unajitoa akili?
Sikuwa na imani kama nliyopata jana, aisee MUNGU yupoIna maana siku zote hizi ulikuwa husadiki? Au muhemko
Kupigana risasi siyo siasa, Mdee kafanya yale ya moyo wake, hatumpingi, ila msimamo wa "vigilantes" upo pale pale, tunakamilisha mafaili ya waliohusika kwenye matukio ya kikatili dhidi ya viongozi wenye mawazo mbadala.Siasa za visasi hazina tija. Tugange yajayo.
Kifo cha AKWILINA kilisababishwa na nanii, kama si wao hakuna ambaye angeumia hata ukucha, POLICCM.True hivi ndivo polisi inatakiwa maadamu awafunji sheria waacheni jioni watalala wenyewe,unaleta maendeleo kwann uogope upinzani?
Siku zote polisi ndio chanzo cha vurugu, Hakuna mtz yeyeto apendae vurugu
Unaongea na sisi au na mkeo chumbaniHuyo nilishawaambia.aende akagombee ubunge.
Aache hizo ndoto za urais. Atapoteza muda.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Polisi ndio uwafanyia vurugu wapinzani kwa kutii maagizo ya wanasiasa makanjanja kina bashiteKifo cha AKWILINA kilisababishwa na nanii, kama si wao hakuna ambaye angeumia hata ukucha, POLICCM.